Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu ni uasi/ uhaini ( treason) , nchi hii haiongozwi na matakwa ya watu tu, ina katiba. Jaribu kuwa unajizuia na mihemko yako.
Sawa, humpendi raisi, humkubali lakini sio kwa Maneno ya kihaini kama hayo hapo juu. Ukiambiwa ulete ushahidi wa maneno hao utaweza.
Hata uhuru wa kuongea unalindwa na katiba.

Jiheshimu mzee....punguza mihemko. 2025 utamchangua umtakae awe raisi wako.
 
Huu ni uasi/ uhaini ( treason) , nchi hii haiongozwi na matakwa ya watu tu, ina katiba. Jaribu kuwa unajizuia na mihemko yako.
Sawa, humpendi raisi, humkubali lakini sio kwa Maneno ya kihaini kama hayo hapo juu. Ukiambiwa ulete ushahidi wa maneno hao utaweza.
Hata uhuru wa kuongea unalindwa na katiba.

Jiheshimu mzee....punguza mihemko. 2025 utamchangua umtakae awe raisi wako.
Mzee nani kakuchefua?
 
Kama sio China no Expressway, no GTC, no SGR no Talanta ambaxo ndizo zinawapa kiburi hapa.
Hakuna project hata moja umetaja ambayo ni ya msaada, zote ni biashara tunafanya na China. Nyinyi mumezoea vya bure.
 
Mbona nyie mmelamba China mpaka makende na hajatoa hela ya reli from nowhere to malaba?
Hatuombi msaada kama nyinyi, sisi tunaomba loans ambazo tunalipa. Bonoslum ni maskini wa kutupwa hadi munasemehewa madeni ju hamuwezi lipa. 😂 😂 😂
 
Biggest port in east Africa 🤣🤣🤣🤣🤣
Ila hii dunia 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Screenshots_2024-05-12-15-29-30.png
 
Ndege zimewashinda
BRT buses zimewashinda
Bandari imewashinda

Serikali ya bongolala imeshindwa na kila kitu, wacha tungoje vituko za SGR sasa. 😂 😂 😂 😂
Leta ushahidi kua zimetuahinda, huna akili wewe kq inaendesha hasara over 13 good years tena hasara ambayo inaweza nunua ndege zaidi 10 B737-9, hapo tuseme kq hainawashinda au 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kila mwaka serekali yenu inahangaika kukopa pesa kibao kwa ajili ya kq ili muweze kulipa pesa kwa wenye ndege zao

Shirika Lina over 40yrs linamiliki ndege 3 chakavu
 
Back
Top Bottom