Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo lipo kwenye falsafa ya kampuni. Baada ya Boeing kuungana na MC Donnell, waliacha kutengeneza kwa ubora, walianza kupiga madenge ili kuongeza faida. Matokeo yake ndege zikaanga matatizo. Whistleblower wanaojitokeza wanauwawa, mpaka sasa wawili wameshaenda. Hili tataizo ni la miaka mingi na Al jazeera walisharusha kipindi chake miaka 9 iliyopita.


View: https://www.youtube.com/watch?v=rvkEpstd9os

Dah! Ndio maana naona Bora twende hata China maana china atajitahidi kuprove ubora.
 
Zote hizo ni hasira za howo
China Aid kila mahali. 😂😂😂👇

Exhibition of China International Development Cooperation

Maskini wa misaada na Tajiri wake. 😂😂😂😂

China, Tanzania agree to upgrade bilateral relations - CGTN

True China ni Marafiki zetu ndio maana walitujengea Reli ya Tazara miaka ya 70s. Kutokana na tuliwasaidia kuingia kwenye UN Security Council.

Tanzania is a Socialist State china also.

Wachina waliwapiga KO kwenye Reli 🤣 🤣 🤣 🤣

View attachment 2987926
 
Do you really know Ruto? Jama anaekucheza vibaya sana. I’m sure huyo Rostam Aziz Ruto alikuwa anapeleka na maji.
Ukisema hivi si ni kama unasema Raisi wenu anawacheza vile maana yupo hapo na vitu vyote vinavyoitambulisha Kenya kama nchi.

So popote hata leo huko Tatu City Ruto alikua anawacheza eeh?
 
Ukisema hivi si ni kama unasema Raisi wenu anawacheza vile maana yupo hapo na vitu vyote vinavyoitambulisha Kenya kama nchi.

So popote hata leo huko Tatu City Ruto alikua anawacheza eeh?
Ruto alicheza Aziz Rostam. That’s why nothing is going on since February 2023 the day of unveiling the site.

Tatu City alienda kulaunch completed project, not dreams kama za Rostam Aziz.
 
Ruto alicheza Aziz Rostam. That’s why nothing is going on since February 2023 the day of unveiling the site.

Tatu City alienda kulaunch completed project, not dreams kama za Rostam Aziz.
We jamaa asee! 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom