Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Mnatucontrol na Ksh 800M? Kweli umaskini imekuaribu akili😂😂😂.Kampuni ya kitanzania kuwekeza kenya (kwenu)kwenye sekta ya habari, kiasi kikubwa cha pesa ili mpate kuangalia mpira kwa picha HD na technology ya hali ya juu, hii haikuambii kwamba we control you.? 🤣🤣🤣
Ksh 800M inaezafanya nini Kenya hii?😂😂😂