Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1715452876598.jpeg
 
Ethiopia wako serious na lamu port because they sent two ministers one for Agriculture and another for transport plus the CEO of their shipping and logistics. Major wins😎
IMG_20240511_205422.jpg
IMG_20240511_205425.jpg
IMG_20240511_205428.jpg

 
Hakuna serious wala chochote port imekaa idle over 3 yrs alaf unaongea nn hapa😅😅

Big white elephant ever na kama unabisha save this post
Mhabeshi ameshusha 60,000 metric tons of fertilizer unajua hizo ni container ngapi za 40feet zitahitajika kuzipeleka moyale. Alafu bado sasa South Sudan amani ipatikane wauze visima vya mafuta kwa Mchina na UAE pipeline Iletwe mpaka lamu.
 
Mhabeshi ameshusha 60,000 metric tons of fertilizer unajua hizo ni container ngapi za 40feet zitahitajika kuzipeleka moyale. Alafu bado sasa South Sudan amani ipatikane wauze visima vya mafuta kwa Mchina na UAE pipeline Iletwe mpaka lamu.
Meli moja baada ya miaka 3 😅😅😅😅 ndio kitu munashangilia hapa, Kenya umefkia level hii kweli??? Basi dunia inazunguka speed Sana

Hakuna kitu kitafaa kwenye miradi tembo mweupe hata siku moja, nilishakwambia SGR, Lamu port , konza , tatu , etc ni big white elephant na kama unabisha save this post
 
Back
Top Bottom