Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnuka mavi kweli kichaa, anakuambia $1.2B vs $7.6M za Azam alafu kuna mpumbavu ka like 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20240511-103438~2.png
 
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Heee
 
Kati ya KBC na Azam TV ipi ina vifaa vya kisasa HD?? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kubalini ukweli kua Azam TV ndio kaipandisha Sana league yenu Mulikua mushapoteana na Kwanza KBC alikua wapi before Azam TV??
Ndivyo mulidanganywa Kenya hakuna camera HD 😅😅😅
 
Leo nataka nipitie mikoa yote ya Tanzania na kila mkoa nitaelezea shughuli za kiuchumi zinazoendelea katika mkoa huo.

Hii hapa ndio orodha ya mikoa yote ya Tanzania. Mikoa ipo 31.


  1. Arusha Region
  2. Dar es Salaam Region
  3. Dodoma Region
  4. Geita Region
  5. Iringa Region
  6. Kagera Region
  7. Katavi Region
  8. Kigoma Region
  9. Kilimanjaro Region
  10. Lindi Region
  11. Manyara Region
  12. Mara Region
  13. Mbeya Region
  14. Mjini Magharibi Region
  15. Morogoro Region
  16. Mtwara Region
  17. Mwanza Region
  18. Njombe Region
  19. Pemba North Region
  20. Pemba South Region
  21. Pwani Region
  22. Rukwa Region
  23. Ruvuma Region
  24. Shinyanga Region
  25. Simiyu Region
  26. Singida Region
  27. Songwe Region
  28. Tabora Region
  29. Tanga Region
  30. Unguja North Region
  31. Unguja South Region
 
Hoyo Azam logo inamaana Azam tv ni content creator na wanapokea mpunga wa maudhui! KBC hawana OBI vans na equipments za live transmission.
KBC has been doing live stream hata before Azam ianzishwe. Azam ni mtoto kwa KBC.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom