Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pesa ya Azam hiyo ndo hata hizo ndege mnapanda!! Mbwa koko nyie, hata shukurani hamna!!
Ksh 800M za Azam itasaidia timu za Kenya na nini?😂😂😂.

KBC is giving each team Ksh 10M wajisaidie nayo. That's why all teams in Kenya wanaambia mashabiki to watch their matches in KBC.
 
China AID 😂 😂 😂 Nchi masikini lazima mupewe msaada.
Image


Image
KBC Iko na Tatu while Azam only have one😂😂😂.

Ya TBC ni donation ya China😂😂
 
There's a stadium better than hile grazing field ya Azam.
🤣🤣 unataka kuhamisha magoli.? Nimeuliza kuhusu uwanja wowote kutoka huko Mombasa, kuna uwanja wowote wenye unaeza meet standards za AMANI stadium in Zanzibar.? 🤣🤣🤣 because for what I know, hata Kasarani (your national stadium) is below standard when compared to AMANI stadium.
 
Ksh 800M za Azam itasaidia timu za Kenya na nini?😂😂😂.

KBC is giving each team Ksh 10M wajisaidie nayo. That's why all teams in Kenya wanaambia mashabiki to watch their matches in KBC.
Ningekua wewe ningenyamaza.

Wewe ni punguani au.? 🤣🤣🤣

Tunapigizana kelele kushindanisha Azam (Tanzania broadcasting company) vs KBC, tunalinganisha eti who invested more in Kenya premium league. 🤣🤣🤣 ningekua wewe ningekwepa huu mjadala kwasababu ni aibu.

TukiwaMbia kwamba we control your economy,mnabisha.. 🤣🤣

Wewe ni maandazi.. 🤣🤣
 
🤣🤣 unataka kuhamisha magoli.? Nimeuliza kuhusu uwanja wowote kutoka huko Mombasa, kuna uwanja wowote wenye unaeza meet standards za AMANI stadium in Zanzibar.? 🤣🤣🤣 because for what I know, hata Kasarani (your national stadium) is below standard when compared to AMANI stadium.
Sawa kibanda Boy.
 
Ningekua wewe ningenyamaza.

Wewe ni punguani au.? 🤣🤣🤣

Tunapigizana kelele kushindanisha Azam (Tanzania broadcasting company) vs KBC, tunalinganisha eti who invested more in Kenya premium league. 🤣🤣🤣 ningekua wewe ningekwepa huu mjadala kwasababu ni aibu.

TukiwaMbia kwamba we control your economy,mnabisha.. 🤣🤣

Wewe ni maandazi.. 🤣🤣
We all know Kenya ndio inacontrol Tanzanian economy.

Ebu nitajie kampuni kumi pekee za Tanzania that are in Kenya alafu Mimi nikutajie 500 Kenyan companies operating in Tanzania.
 
Nyinyi hamtoandaa afcon hata iweje, sisi tushajipanga, tutakuwa na afcon bora na infrastructures bora za kunogesha kama electrified SGR, nyie mna nn kipya? Tena huku kwetu michuano itanoga kuliko michuano yoyote iliyowahi kufanyika ukitoa ya SA.
Hamuna commuter rail wala expressway kutoka JNIA mpaka makwapa stadium ama kina Mo salah watapanda Brt?! Arusha na Zanzibar ndio bure kabisa.
 
Angalau tunabadilishana Technology. Nyie mnapata msaada wa unga wa ugali toka Saudi Arabia hamuoni aibu? 🤣🤣🤣🤣
Tazara railway, Library China, OB Van China. 😂 😂 😂 😂 Nyinyi mumezoea wachina vibaya na umaskini wenu.
 
We all know Kenya ndio inacontrol Tanzanian economy.

Ebu nitajie kampuni kumi pekee za Tanzania that are in Kenya alafu Mimi nikutajie 500.
🤣🤣🤣 wewe ni maandazi. Au wewe ni bumunda..

Back to your discussion ,🤣🤣 ni nani mwenye ame invest sana huko KPL Kati ya Azam vs KCB..?

Nipo hapa nasubiri majibu. 😎
 
Back
Top Bottom