ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mumeanza kuhara tayari hio Mombasa haiko hata kwenye mipango wa AFCON na ndio beach city 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah! yani mungu atupe uzima 2027 aibu hii itakua kimataifa
Mombasa haitaandaa AFCON, katika hisoria ya huo mchezo viwanja Kama amaan ni vya mazoezi😅Leta uwanja kama huu kutoka Mombasa tuone alaf uendelee kufananisha znz na Mombasa 🤣🤣
Haitandaa na haitaweza kuandaa mpaka kiyama and u know why?? Maji Tu shida na iko pembeni ya ocean 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mombasa haitaandaa AFCON, katika hisoria ya huo mchezo viwanja Kama amaan ni vya mazoezi😅
Donation from China 😂 😂 😂 😂
Nyinyi hamtoandaa afcon hata iweje, sisi tushajipanga, tutakuwa na afcon bora na infrastructures bora za kunogesha kama electrified SGR, nyie mna nn kipya? Tena huku kwetu michuano itanoga kuliko michuano yoyote iliyowahi kufanyika ukitoa ya SA.Dah! yani mungu atupe uzima 2027 aibu hii itakua kimataifa
Kundustan wacheni kujifariji Kwa Ujinga.Mwezi huu wa May kutakuwa na mikutano 2.Mmja huu hapa 👇Three international conferences in Nairobi in a week. Dar es Salaam can only dream.
View attachment 2987648View attachment 2987649View attachment 2987650View attachment 2987651
Unalia ukiwa wapi?😂😂Onesha iyo ksh 1.6b, chizi gn ata inject hiyo pesa kwenye ligi dhaifu kama ya Kenya? Ligi ambayo haina uhakika kama itapigwa ban ama la kutokana na viwanja kuwa vibovu na mazingira kuwa hovyo, by the way last time I checked Kenyan league haipo hata 20 bora za ligi bora Afrika, nani ataweka pesa nyingi huko? Azam tu ambaye ame take over huko kwenu kaweka only $7.6m wakati Tanzania kaweka zaidi ya $80m 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Corporation between CGTN and TBC 🤣 🤣 🤣Donation from China 😂 😂 😂 😂
Mkataba wa mwaka mwaka, $1m kila mwaka kutegemea na mazingira yatakuwaje Azam katoa pesa taslimu $7.6M na mkileta ujinga atawaacha na ligi lenu bovu🤣🤣🤣🤣🤣
Siku Azam itafikia KBC njoo tuongee.Mkataba wa mwaka mwaka, $1m kila mwaka kutegemea na mazingira yatakuwaje Azam katoa pesa taslimu $7.6M na mkileta ujinga atawaacha na ligi lenu bovu🤣🤣🤣🤣🤣
Huu ni wivu 🤣🤣🤣🤣 haya umia Pole Pole.. kule kwenu mombasa kuna uwanja wowote.? The second most developing city of Kenya.? 🤣🤣🤣Astaghfirullah ushuzi ndani ya uswazi
There's a stadium better than hile grazing field ya Azam.Huu ni wivu 🤣🤣🤣🤣 haya umia Pole Pole.. kule kwenu mombasa kuna uwanja wowote.? The second most developing city of Kenya.? 🤣🤣🤣
Wameumia na hatuwaachili tunapiga pale pale kwenye tundu Lao😃
View: https://twitter.com/its_RIX/status/1789176205414969854?t=4-YCHCrTmipaX1zD4byYrw&s=19
China AID 😂 😂 😂 Nchi masikini lazima mupewe msaada.Corporation between CGTN and TBC 🤣 🤣 🤣