Kwenye Swala la Rail hatufanishwi na mbwa yoyote Africa Mashariki na Kati. Angalia tu varieties ya Vifaa vya reli kuanzia Vichwa vya aina mbali mbali na mahehewa ya aina mbali mbali. Hapo tu ya mizigo bado hamjayatia machoni.
MGR tuna locomotive nyingi ikiwemo
SMH Rail's H10 Series,
SGR ndio usiseme tuna hadi mabehewa Double Decker na EMU.
Sio reli tu Usafiri wa aina yoyote iwe Land Marine na Air angalia vifaa vyetu uone kama kuna Mbwa yoyote East Africa na kati anatia Pua😂
In the
The best 007 Voice, GDP yetu ipo undervalued na Hakuna mbwa yoyote anatukaribia kwa vitu tulivyonavyo, Wakiwemo wakundustan na Makarai yao 😂
View attachment 2980842