Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ndio sababu huwa nakupuuzaga.. endelea kupiga kelele mwaya.
Najua hampendangi ukweli. Kwani ni uongo kuwa Tanzania only have cheap buses from China? Is it a lie that Irizar is cheaper Touring and Higer buses which are in Kenya? Is it a lie that nobody ranked you number one and it’s only something you have planted in your heads and then started to believe it?

Finally who told you that I’m eager to get your attention? Wewe ndio huwa unanireply cause I don’t care about you. Why should I be bothered by a poor idiot like you? Most of the conversations that we usually have wewe ndio huwa unaanza kunireply. For me I don’t care whether reply me or not.
 
Wakenya just to remind you

Wakati tunajenga Reli, Bwawa Barabara, Madaraja, BRT na miradi mingi ya kimkakati, ambayo ni ya malengo ya miaka 100

Nyie humu mnapost magorofa ya kupangisha ambayo wengi wenu humu hamtawahi kuishi humo, kipindi Cha nyuma hapo mlikuwa mnapost express way ambayo imeprove haikuwa necessary at all.

Now mradi wenu mkubwa kabisa ni uwanja wa mpira, ambapo sisi tuna project za aina hiyo zaidi ya 5 ukiacha timu Binafsi.

Wakenya hamuoni mnatatizo la Uongozi? Uongozi wenu umekuwa unasimamia basic staff but not future of your country
"But we speak good English" 😂😂😂
 
Najua hampendangi ukweli. Kwani ni uongo kuwa Tanzania only have cheap buses from China? Is it a lie that Irizar is cheaper Touring and Higer buses which are in Kenya? Is it a lie that nobody ranked you number one and it’s only something you have planted in your heads and then started to believe it?

Finally who told you that I’m eager to get your attention? Wewe ndio huwa unanireply cause I don’t care about you. Why should I be bothered by a poor idiot like you? Most of the conversations that we usually have wewe ndio huwa unaanza kunireply. For me I don’t care whether reply me or not.
🚮
 
Hata mimi nipo tanga hapa korogwe naona marori ya Rwanda Burundi na Kenya ni mengi sana ya Kenya ni LPG,makaa ya mawe na ya chakula Rwanda na Burundi ni mizigo kutoka Tanga port
Sio kweli mkuu,Rwanda inatumia bandari ya Dar sana,haiwezi ikapita dakika 20 Lori la Rwanda halijapita,Mimi nipo Tabora ambapo malori yote ya Burundi,Rwanda, Kenya nk hupita. Rwanda tumeishawaweka mfukoni kwanini tuhangaike nao tena?
 
Kwenye Swala la Rail hatufanishwi na mbwa yoyote Africa Mashariki na Kati. Angalia tu varieties ya Vifaa vya reli kuanzia Vichwa vya aina mbali mbali na mabehewa ya aina mbali mbali. Hapo tu ya mizigo bado hamjayatia machoni.

MGR tuna locomotive nyingi ikiwemo SMH Rail's H10 Series,
SGR ndio usiseme tuna hadi mabehewa Double Decker na EMU.

Sio reli tu Usafiri wa aina yoyote iwe Land Marine na Air angalia vifaa vyetu uone kama kuna Mbwa yoyote East Africa na kati anatia Pua😂

In the The best 007 Voice, GDP yetu ipo undervalued na Hakuna mbwa yoyote anatukaribia kwa vitu tulivyonavyo, Wakiwemo wakundustan na Makarai yao 😂


View attachment 2980842
Asee! Sasa wanayo tupostia yanaenda wapi? Maana hata kila video ya tukio mjini unakuta ni makarai hadi CDB.

Bongo kunasehemu ukienda na Bus la
masafa wanakushangaa WTF you doing here?

Hivyo unakuta mwenye bus yupo anaspeed akiepuka kutengeneza ajali maana adhabu itakua kubwa, sheria ipo wazi eneo la Bus ni Stend sio mtaani.
 
Back
Top Bottom