Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Bado nangoja nionyeshwe CAF report approving Azam Grazing Field.Mwalimu wako alipata tabu sana kukufundisha darasani
Bado nangoja nionyeshwe CAF report approving Azam Grazing Field.Mwalimu wako alipata tabu sana kukufundisha darasani
Mkapewa bus terminal mbili pia sie wengine mbona hatukujitenga!Mnataka kututenga sana kama vile sisi sio Watanzania,siku Lissu akifanikiwa kuitenga Tanganyika na Zanzibar,Lake zone tutaanza kupambana tupate nchi yetu rasmi.......hatuwezi kuendeshwa kubali mambo ya kipumbavu kama haya
Baada ya kubisha sana hatimaye wameumbuka 👇👇
View: https://twitter.com/RFI_Sw/status/1786247346378190975?s=19
Naona kama Rais wenu Tanzania haikosi midomoni mwenu! BTW mbona mlitaja death rate ndogo?Hakuna Mkenya anayebisha kuhusu mafuriko. Wanaobisha ni Denial republic. Ndio maana mnashare mafuriko ya Kenya humu wakati kwenu yapo. Nakumbuka mlikua na vifo 115 wakati Kenya haijafika hata 50, sasa saa hii Wakenya vimefika 188 unadhani huko kwenu ni ngapi? Naona more than 400.
Mambo ya Mafuriko kwetu kwa sasa hakuna tuna msubiri Hidaya. Japo kuwa Hidaya ataelekea maeneo ya Lamu na Mombassa. Kaeni mkao sawa sawa. KundustanHakuna Mkenya anayebisha kuhusu mafuriko. Wanaobisha ni Denial republic. Ndio maana mnashare mafuriko ya Kenya humu wakati kwenu yapo. Nakumbuka mlikua na vifo 115 wakati Kenya haijafika hata 50, sasa saa hii Wakenya vimefika 188 unadhani huko kwenu ni ngapi? Naona more than 400.
Mbona hamtaji death rate zenu?Naona kama Rais wenu Tanzania haikosi midomoni mwenu! BTW mbona mlitaja death rate ndogo?
Endeleeni kulialia! Hidaya inakuja na inaweza gonga popote pale Mtwara mpaka Lamu japokuwa media zenu zinataja Dar tu!Mbona hamtaji death rate zenu?
Kuna kifo tena cha mafuriko bongo mdogo wangu. Au huamini?Mbona hamtaji death rate zenu?
Mbona media zenu including nyinyi wenyewe hamuongelei floods za bongo?Endeleeni kulialia! Hidaya inakuja na inaweza gonga popote pale Mtwara mpaka Lamu japokuwa media zenu zinataja Dar tu!
Tutaongelea kitu ambacho hakipo? Mzee Tanzania ipo na vyama vingi tu vya upinzani na kama kungekuwa na Tatizo hilo wangeongea sana kijana wangu. Au unataka tufanane?Mbona media zenu including nyinyi wenyewe hamuongelei floods za bongo?
Mlikuwa mnabisha kwamba hamjasombwa na MafurikoHakuna Mkenya anayebisha kuhusu mafuriko. Wanaobisha ni Denial republic. Ndio maana mnashare mafuriko ya Kenya humu wakati kwenu yapo. Nakumbuka mlikua na vifo 115 wakati Kenya haijafika hata 50, sasa saa hii Wakenya vimefika 188 unadhani huko kwenu ni ngapi? Naona more than 400.
Ebu quote post moja tukibisha. Mimi naquote ya Mtanzania akibisha. Hii hapa. Read what this cow posted.Mlikuwa mnabisha kwamba hamjasombwa na Mafuriko
Mambo ya Mafuriko kwetu kwa sasa hakuna tuna msubiri Hidaya. Japo kuwa Hidaya ataelekea maeneo ya Lamu na Mombassa. Kaeni mkao sawa sawa. Kundustan
Kama media za bongo haziongelei mafuriko wewe umejuaje bongo kuna mafuriko! 😂😂😂Mbona media zenu including nyinyi wenyewe hamuongelei floods za bongo?
Foreigners and foreign media in Bongo are sharing the news. NASA is also sharing.Kama media za bongo haziongelei mafuriko wewe umejuaje bongo kuna mafuriko! 😂😂😂
Hatuna muda wa kupigizana kelele na wewe shamba boy enda ukaombe wewe hiyo report huko CAF.Bado nangoja nionyeshwe CAF report approving Azam Grazing Field.