tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Yes hua napenda tu argue namna hii..Being EAC headquarters is non-issue...Dodoma is also Tanzania headquarters..
Agriculture u can't come close,industries eldy sio mchezo
Arusha kama ulikua hujui inatoa mazao ya biashara mengi nakuuza Kenya, vitunguu maji,vitunguu swaumu,na viungo vyote vya chakula,ukija kwenye mazao mengine ya kilimo kama maua kahawa,ndizi,mahindi, viazi nk
Arusha pia wanaviwanda vikubwa vingi
viwanda vya kutengeneza tails,vinywaji baridi na pombe,textile,viwanda vya vyakula mf tomato sauce,chilsauce,ketchup, viwanda vya diery products na vingine kadhaa