Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,738
- 80,767
Maumivu ya mapigo ya electrical SGR Tanzania!
Hebu kueni serious kidogo😂😂😂😂That’s a stadium coming up in Bonguma. There’s only one stadium that can compete with it in Tanzania, that’s Makwapa stadium.
Unalia ukiwa Yemen ama Tanzania?😂😂
View: https://www.instagram.com/reel/C6YZnJFIG_j/?utm_source=ig_web_copy_link
Unalia ukiwa wapi?😂😂Mm hua nakushangaa Sana kitu gani unafurahia hapa 😂😂😂😂😂 Yani nyinyi munasafari ndefu Sana kimaendeleo Leo hii munashangilia mpaka renders
Walikuwa wanatamani Talanta to remain on papers just like their Arusha Stadium. Alafu hakuna kitu kinawauma at Talanta Stadium will host both Opening and Final Matches😂😂Unapost ujenzi ukiendelea mtu anaongelea renders.😂😂😂
Wapo wanatafuta Mishumaa Wamulike lile dude lao linalovuja kama Maji ya flood kwenye Dump truck 😂😂😂😂😂😂😂
View: https://x.com/larrymadowo/status/1785517433815498789?s=46&t=Zi5vkFm4xkpEoPPWxyTXrw
Mfa maji huyo!! Anatapa tapa tu!
Peleka ujinga huko uwanja wa PPP unajua terms zake? Ngoja muone vituko vya mwekezaji ndio mtajua hamjui.Walikuwa wanatamani Talanta to remain on papers just like their Arusha Stadium. Alafu hakuna kitu kinawauma at Talanta Stadium will host both Opening and Final Matches😂😂
Hii ndio progress ya ujenzi?😂😂😂
As you make stories Talanta inasonga.
View: https://www.instagram.com/reel/C6YZnJFIG_j/?utm_source=ig_web_copy_link
Kwa maelezo ya Egyptian ni kwamba mnatembea ana mixture kukimbia kwa nauli hamna. Ndio maana riadha ipo kwenye damu yenuUtakuwa umerukwa na akili kuifananisha Tanzania kwa Kenya kiriadha. Hilo hata wewe mwenyewe unajua.
Mradi wa mchina under PPP kama ile GTCKwani ni mradi wa serikali?ni mradi wa mchina huo
📌📌📌📌🔨 Bado hujasemaMaybe it’s a coincidence that you always do same things after we do them…. Just an observation…
Tangu lini Tanzagiza ikafanya vizuri kaika riadha kwa hii dunia? 🤣 🤣 🤣 Wadanganyika mnakuanga watu wakuishi maisha delusional {kidanganyifu} sanaKwa uwanja wa serikali ni sawa tena inasaidia kuongeza effort kukuza riadha ambayo tumekua tunafanya vizuri kimataifa kuliko soka