Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Amekua site miezi mbili Sasa hamna matokeo.
Nikukumbushe Tu Daraja la Likoni lilianza kabla ya Daraja la Salendar na Daraja la Magufuli now tunaelekea kuzindua Daraja la Magufuli.

Tanzania we always take time kufanya vitu vizuri na vya maana

No wonder nchi yenu iliamua kujenga restaurants ikaacha kuziba paa lililotoboka
 
Hio dash inaweza kusoma hata 300kph onesha video ikienda hio 200kph. Kuna VW Golf 2.0Fsi dash inasoma 260kph na kuna Nissan Patrol Y62 dash inasoma 240kph. Hio VW haizidi 210kph wakati hio Nissan inamaliza 240kph ndani ya muda mfupi sana. I'm talking from experience!
Kwanza mkuu haina haja ya kubishana nao save your words, huoni wanatuvuta kwenye upumbavu wao?

Construction design iko wazi, trains speed limit imeandikwa mpaka nje, na website ya muuzaji imeandikwa mpaka nje.

Na kichwa kimoja hakitoshi kuhaul mpaka viwe double
.

Which means kichwa kimoja hakiwezi kumaintain speed designed licha ya kuwa na speedometer ya 200km/h


Sasa hapo kuna haja ya kubishana kwa kutumia speedometer ambayo nayo imewekewa red line kwenye 100km/h?
 
Angalia yard stick iliyotumika kuyapa justification ya mafuriko huko kunya land..

We lead... They follow... Kimya kimya

View attachment 2977716
Asee

Naichuikia this mentality, maana inadumaza nchi, hata bongo ujinga wa kuambiwa sijui bei imepanda sehemu kulinganisha na Tanzania ni sawa na huyo Ruto tu.

If uwezo upo fanya kweli uwe mfano kwingineko sio kutafuta excuses kila nchi ingekua na excuse kisa marekani upo ingefika wapi?

Lakini now MIDDLE EAST ni unique kwa maenendeleo yao, China ni unique kwa maenendeleo yao.
 
nakuuliza michezo ya riadha ikija ifanyike wapi? Kwa taarifa yako stadiums ambazo hazina running track huwa mara nyingi ni zile za clubs yaani binafsi! Huyo Msemaji ni mpuuzi nae! Kwahiyo kwako wewe michezo ni soccer tu!?

Wewe Umepotoshwa kama huyo Msemaji japokuwa at least Mkapa Stadium imebaki vilevile! Mambo ya kuondoa track waachiwe wakina Azam na si viwanja vya serikali! Mkapa pale ulipo haujawahi kujaa unataka kuondolewa running tracks kujaza viti ili iweje? Akili za makamasi ni kupenga!

Wembley stadium London
Wembley-Stadium-London.jpg



Olympic stadium Berlin
OlympiaStadium-Berlin-1-Interior.jpg


Stade de France Paris
variant.jpg


Shaghai stadium
shanghai_stadium44.jpeg


Beijing National stadium (Bird's nest)
asia-china-beijing-national-stadium-internal-structure-audience-stand-bird-s-nest-olympic-main-interior-63815994.jpg


Usi-cram mambo kwa vile kila weekend unaangalia Premium league! Mechi huchezwa viwanja binafsi vya clubs kule! na kumbuka pale Uhuru nafasi hamna kama wanataka kujenga jukwaa upande wa pili inabidi running track iondolewe!
Kwa mimi mkuu naona uwanja mmoja tu unatosha kuwa na running tracks.
Maana Tanzania hatuna sana mashindano ya riadha.
Uingereza mashindano ya riadha yapo mengi.
Toka kuwepo na hizo running tracks BWM stadium unakumbuka kuhost riadha mwisho mwaka gani!?
Kichaguliwe kiwanja kimoja kinatosha.
 
Kwa mimi mkuu naona uwanja mmoja tu unatosha kuwa na running tracks.
Maana Tanzania hatuna sana mashindano ya riadha.
Uingereza mashindano ya riadha yapo mengi.
Toka kuwepo na hizo running tracks BWM stadium unakumbuka kuhost riadha mwisho mwaka gani!?
Kichaguliwe kiwanja kimoja kinatosha.
Viwanja vya serikali lazma viwe multipupose kama nchi Tajiri zinazingatia hilo, sie nani tupuuze?
 
Viwanja vya serikali lazma viwe multipupose kama nchi Tajiri zinazingatia hilo, sie nani tupuuze?
Nchi tajiri mathalan Uingereza uliyotaja sababu za multipurpose zinafanya kazi mkuu.
Uingereza michezo ya riadha iko kwa wingi.
Tanzania hata hatukumbuki mwaka gani mwisho ku host hayo mashindano.
Kiwanja kimoja au viwili vinatosha kaka.
Sijasema visiwe multipurpose ila tutizame na uhitaji ukoje.
Sio kila kiwanja cha serikali kiwe na running track halafu hazitumiki ipasavyo.
 
Nchi tajiri kama mathalan Uinegreza uliyotaja sababu za multipurpose zinafanya kazi mkuu.
Uingereza michezo ya riadha iko kwa wingi.
Tanzania hata hatukumbuki mwaka gani mwisho ku host hayo mashindano.
Kiwanja kimoja au viwili vinatosha kaka.
Sio kila kiwanja cha serikali kiwe na running track halafu hazitumiki ipasavyo.
Wacha upuuzi! Unataka kututia hasara!
 
Back
Top Bottom