Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Huyu dogo kafanya kazi nzuri sana kwenye hii SGR yetu wakuu, clips zake kuanzia za tiktok na YT zinazidi kutupaisha kimataifa, kiasi flani pia wakundustan walikua wanauhadaa ulimwengu sababu watanzania tulikua hatufunguki kihivyo kupitia international languages kama English, sasa kazi wanayo.
View: https://twitter.com/DavidHundeyin/status/1785267663322656824?t=7NOk5pH7GrxJbEFtJF7RLw&s=19
I wish moto tuliokuwa nao miaka 15 iliyopita kule SSC tungekuwa nao leo, now with some receipts of course.
Geza Ulole NDINDA mnakumbuka? Geza mpaka wakenya wakamtoa dima. Hatari sana...
😀