Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mada ndio hii hapa. Mmeandika kwa media zenu Kijabe Dam imeburst. Ebu nionyeshe hiyo Kijabe Dam. buffalo44 alafu mnaanza kulia eti media za Kenya zinawaharibia jina.

Bado mnaendelea kuomba au mmepiga pause kidogo...

IMG_20240430_152631.jpg
 
Daily dose

Pale Talanta chuma za nguzo zishaanza kufungwa. Hivi uwanja wa Arusha umefikia wapi?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


View: https://www.instagram.com/reel/C6Ye-xoIkTE/?igsh=MWF0NmVlNm15dTFndA==

Tanzania huiwezi kwenye soccer mkuu, we plan to build 4 new stadia, Mkapa (renovation), Uhuru (renovation), Arusha, na Dodoma. Mind you we also have Amani stadium and Azam complex, both are CAF approved stadia, ni matusi Kenya kujilinganisha na Tanzania kwenye soccer facilities.
 
Kunyaland ukiachana na shoddy airports pamoja na ushoddy wake havizidi vitatu, Tanzania kwenye chochote kinachohusu transportation hatuna wa kutufikia ukanda huu, iwe airports, ports, roads, railways, communication infrastructures etc zote hawapo

20240430_170224.jpg
 
Leta video imefika 200 mm nifunge ACC forever ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ikiwa Mombasa to Nairobi 470km inachukua 6 hours ni sawa na average ya 80km/hr lini ilifika 200km na lini itafika hio speed
Yes treni lao la SGR linatumia masaa sita kutoka Nairobi hadi Mombasa...ushahidi ni hii video hapa chini mkenya mwenzao kasema wametumia masaa sita hapo dakika ya 3:26


View: https://youtu.be/1x-uOPEQ8nE
 
Tanzania huiwezi kwenye soccer mkuu, we plan to build 4 new stadia, Mkapa (renovation), Uhuru (renovation), Arusha, na Dodoma. Mind you we also have Amani stadium and Azam complex, both are CAF approved stadia, ni matusi Kenya kujilinganisha na Tanzania kwenye soccer facilities.
CAF approved Stadium ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

IMG_0157.jpeg
 
Back
Top Bottom