Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mwenzao kawaambia ukweli mtupu wameshaanza kumbandika majina
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
eti huyo mkenya kafungua account mpya
 
ukweli wa mambo ni kuwa kuna watanzania wanatambua ukweli tu ila kwa sababu ya vichwa vigumu vya watz wachache inawabidi wanyamaze tu...ndio maana ukaona uzi una views millioni ila wanaochangia ni wachache tu...wale wengine waliona ni upuuzi tu na wakabaki jukwaa la tz
emoji23.png
emoji23.png
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
pole sana bishop fake kabisa...ina maana bongolala wenzako hawawezi wakaisifu Nairobi? lazma tu iwe ni mkenya anajifanya mtz?
emoji23.png
emoji23.png
huna point useless bishop...jitayarishe kesho jumapili ukale sadaka za wakristo kule
Isije ikawa ni ID yako, tumeshawazoea...
 
By the way my sis amepata masters yake ya oncology Leo nadhani Ni jambo jema sana
 
ukweli wa mambo ni kuwa kuna watanzania wanatambua ukweli tu ila kwa sababu ya vichwa vigumu vya watz wachache inawabidi wanyamaze tu...ndio maana ukaona uzi una views millioni ila wanaochangia ni wachache tu...wale wengine waliona ni upuuzi tu na wakabaki jukwaa la tz
emoji23.png
emoji23.png
Sikatai na wala sijawahi kuudharau mji wa Nairobi, ni mji mzuri lakini inatia shaka pale mnapotumia nguvu nyingi sana kuunadi...
 
Kaka hiyo ni "my country whether right or wrong" ila kaka dsm haiifiki nai tuache ushabiki wa manzese. Najua umekaa Nai unafahamu

ni kweli dar haifikii nairobi hilo halina ubishi na wala hakuna mtz anayebisha.

ila jambo moja muhimu ni kwamba with rapid changes that we have been witnessing within a short time,dar is catching up very fast,dar ipo katika progress nzuri ya kuifikia nairobi na hata kuipita.

hapo ndio kwenye mantiki ya mjadala huu. na katika mantiki hiyohiyo,ndio sababu unaona wakenya karibia wote wa jf wame-shift concentration yao yote kwenye thread hii kuliko thead yoyote hapa jf maana tayari dar ina-click katika bongo zao.dar inawapa hofu.

na katika mantiki hiyo hiyo, kumefanya thread hii kuwa moja kati ya thread bora inayofatiliwa sana na wasomaji kiasi cha kuwa na namba kubwa ya views kuzidi thread yoyote iliyowahi kuanzishwa katika jukwaa la kenyaforum.
fe95602bade36315de0c568160bb5aea.jpg


kwa mantiki hiyo hiyo ndio kuna fanya thread hii iwe ina-trend kwa mwaka mzima tangu alipoanzishwa mwezi january 2017.Nina hakika ita-trend mwaka wote wa 2018.

haya yote ni kwasababu dar ni game changer...dar ndio imefanya hii thread ifike hapa ilipo...hata wewe mwenyewe una-comment hapa kwasababu in one way or the other, you are being influenced by dar...so usiidharau dar "msee"
 
Back
Top Bottom