Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 21,627
- 43,006
Shida yako uko obsessed sana na Nairobi Vs Dsm rivary. Ungetaka kutulia ukasoma post yako ya mwanzo ungeelewa nilichoandika. Wewe ulitaka kuaminisha watu kuwa Dar ni kubwa kuliko Nai kwa upande wa area na hivyo dsm ni zaidi ya nai. Mi nilitaka nikuoneshe pamoja na dar kuwa na eneo kubwa bado sehemu kubwa sana. Zaidi ya 70% ni unplanned areas au haziko developee kabisa.Yaani unanichekesha sana Guangzhou 3,843.43 sqr KM. Sasa unayesema una exposure unajua Guangzhou sasa inaifunika vibaya NYC?
Halafu ulivyo mfinyu wa mawazo Unataka kufananisha Nairobi na NYC!!? Dar inaelekea kuwa Guangzhou of TZ.
Lakini pamoja na juhudi zako zote Nairobi bado ni more cosmopolitan kuliko dar na ipo miles away kuliko dar kama ni unaongelea maendelo. Comments nyingi hapa za kuitetea Dar haziwezi kubadili huo ukweli
