Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Utafundishwa hadi lini wewe nguruwe?
You can’t talk through the internet if doesn’t involve audio or video.

Talking ❌
Typing✔️
Arguing ✔️
Listen young man; it seems like you are still wallowing in that fallacious, colonial and antiquatted notion which a lot of nyang’aus have. You can go and complain to King Charles III, if you think I am butchering his language.🙂
 
Uhuru stadium inaenda kuwa Super kabisa
Screenshot_20240425_144101_Instagram.jpg
 
Duh asee! Ulizaliwa Mwaka gani?
let me ENLIGHTEN you.

In 2006 kwenye Travel Agents Conference Waziri wenu wa Utalii Morris Dzoro alisema Mt. Kilimanjaro ni moja ya vivutio vya kitalii Kenya. Kupelekea mvutano. Imagine waziri mzima anasema hivyo, na mlitumia slogan hii 'COME TO KENYA TO SEE and CLIMB Mt. Kilimajaro.


View attachment 2972798

Unajua iliaffect kiasi gani tourism industry yetu, maana kupitia kampeni lenu la kutumia Kilimanjaro na serengeti watalii walikua wanafikia kwenu alafu mnawaleta huku as if hakuna Mbuga huko. Ndio Tanzania ikaja na Charges za USD 200 kwa kila Van kutoka Kenya, Kutangaza VISIT TANZANIA VIA SUNDELAND CLUB.
View attachment 2972804

Uzi uko humu wanalalamika

View attachment 2972800


Sasa mna masai mara, Na mbunga nyingi mnaleta van kufanyaje, kama si kuwaonesha watalii mliowadanganya, baada ya hizi measures ndio watalii wakagundua uongo wenu.

Kuna huyu Rosemary Odinga mbele ya UN kabisa alisema Olduvai Gorge iko Kenya


View: https://www.youtube.com/watch?v=4-nKXyN3wOk

Alafu Baadae unakuja kuita Banter, Na unakuja kabisa kusema sisi ndio tumeanzisha, Banter gani zinakost sector nzima ya tourism.

Hizo zote ndizo zilizaa tabia ya kudai kila kitu World recognizable kilichopo Tanzania ni chenu.

Usitufanye wajinga sana, uwe unafanya research kabla ya kuongea wala kujipa umhimu.

AND NEVER CALL IT BANTER IT IS WAR

Hao mbuzi kama mbuzi wengine
 
Wewe unajua hata DMU ni nini? SGR Trains za Kenya sio DMU.

Unaita watu fala na kumbe wewe ndio fala number moja.
Ninyi si mnatumia Diesel multiple Unit?
Au mnatumia lokomotive zipi!?
Nani asiyejua DMU!?
 
Aiseee!
Kama kawaida yako waleta video kabla hujaitizama kwa uyakini.
Kwa akili zako kama m23 wanazuiliwa na wapiganaji wa kizalendo hapo Goma watawezaje kuvuka Goma kuja Kinshasa!?
Bro au una njaa!?
Huu muandiko wako kaka unakutambulisha. Wew unatokea Tanga au Zanzibar.?
 

Wanakwambia "Kenya where did we wrong the gods".
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Lamamayeeeee!
Bado joka halijatembea.
Wife nyumbani kwao Singida nikienda mtembelea mama mkwe napanda jokarrr🐉🐉🐉🐉 mpaka Dodoma kesha napenya Singida.
 
Back
Top Bottom