Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good evening Nairobi
1714062478776.jpg
 
SGR yetu tunatumia EMU and electric lokomotives.
Ila ninyi SGR yenu inatumia lokomotives tunazotumia sisi katika MGR yetu.
Kenyan SGR=Tanzanian MGR.
Why are you embarrassing yourself.

Your MGR trains can’t operate in our SGR because of the wheel width which is 1,000mm.
Our SGR train can’t operate in your MGR railway because it’s wider than your MGR rail at 1,435mm.
 
Unaendelea kujiaibisha. Trains are either locomotives or Multiple Units.

DMU and EMU both falls under Multiple units.

Again there’s no word like railway Locomotives. Railways are either Meter Gauge, Standard Gauge, Momorail, tram etc.
Hizo ni types of railways matako wewe.
Mimi nazungumzia vipitavyo juu ya hiyo railway.
Hiyo multiple unit ni mfumo wa hiyo engine husika.
Screenshot_2024-04-25-19-39-04-94_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-04-25-19-39-15-62_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-04-25-19-39-04-94_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-04-25-19-39-15-62_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
l
 
We fala unakaza fuvu!?
Sikujua kama hamtumii DMU.
Najua what is DMU and diesel lokomotives.
Hata DMU ni lokomotive pia ila ni lokomotive ya utofauti na diesel lokomotive kiufanisi katika kuserereka katika reli.
Train ya SGR ya Kenya sio DMU ila ule mtumba wa Spain ndio DMU. Kuanza wanabidi waelewe maana ya multiple unit source of power or traction be it diesel or electric comes ftom several units within the train and they complement each other. Otherwise if power and traction comes from the kichwa alone then we call it diesel or electric locomotive
 
Train ya SGR ya Kenya sio DMU ila ule mtumba wa Spain ndio DMU. Kuanza wanabidi waelewe maana ya multiple unit source of power or traction be it diesel or electric comes ftom several units within the train and they complement each other. Otherwise if power and traction comes from the kichwa alone then we call it diesel or electric locomotive
Mwenzako ndio hajui DMU ni nini. Unaona vile watanzania ni wajinga hapa?😂😂
 
.
Train ya SGR ya Kenya sio DMU ila ule mtumba wa Spain ndio DMU. Kuanza wanabidi waelewe maana ya multiple unit source of power or traction be it diesel or electric comes ftom several units within the train and they complement each other. Otherwise if power and traction comes from the kichwa alone then we call it diesel or electric locomotive

Ndio sijakataa ndio maana nikamwambia kile wanachotumia wao kwenye SGR sisi tunatumia kwenye MGR.
Mataifa mengi hu opt kutumia DMU kwenye SGR ila Kenya wameamua kutumia diesel lokos ambacho ni kitu cha kuchekesha.
Utata unaokuja hapa ni huyu fala kubisha kuwa DMU sio aina ya lokomotive.
Ni aina ya lokomotive ila multiple unit ni mfumo tu wa engine husika.
Hicho ndicho tunachobishana hapa.
 
Si hata nyinyi mnatumia Locomotives in your SGR? Ama maana ya locomotives ndio hujui?
On our Sgr we have a mix of electric locomotives, Electric Multiple Unit and Diesel Electric Multiple Unit (DEMU) for shunting only.
 
Yani hadi kuandika Locomotive pia hujui? Locomotive gani huandikwa letter K?😂😂 Again nobody was arguing between the difference of a train and Locomotive juu anything moving on the railway is called a train.
Ona huyu matako.
Kuandika k ama c haileti tofauti.
Nimefanya mtihani wa reli chuo cha reli Tabora na nimetumia K badala ya c.
Narudia kukwambia tena multiple unit ni mfumo wa engine husika ila DMU ni aina ya lokomotive.
Nimekuletea hiyo article ili usome uelewe MAANA YA LOKOMOTIVE.
Engine inayotumika juu ya railway ndio huitwa lokomotive matako wewe.
Ila lokomotive ndio zipo za aina tofauti na mifumo tofauti ya engine.
 
Why are you embarrassing yourself.

Your MGR trains can’t operate in our SGR because of the wheel width which is 1,000mm.
Our SGR train can’t operate in your MGR railway because it’s wider than your MGR rail at 1,435mm.
Hivi unaelewa nachozungumza!?
Mfumo wenu wa engine mnazotumia katika SGR ni za diesel ama sio za diesel!?
 
And yet our Diesel Locomotives are faster than hizo vitu zote umetaja😂😂
Faster in what wakat 470km inatumia 6 good hrs hvi mulirogwa na Nani ikiwa kwa bus kutoka nairobi to Mombasa ni 7 to 8 hours na hapo foleni za kila aina ajabu treni ni 6 hrs tofaut iko wapi??😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom