Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

TANGAZO TANGAZO

Haya nikiwa kama mwenyekiti naomba tupunguze dose kutoka mara tatu kwa siku mpaka mara moja Tu kwa siku, naomba tuzingatie hili agizo kwa maslahi mapana ya thread/group hii

Tuzingatie sheria asanteni

By utawala
ichoboy01
🤝🤝😂😂😂😂😂😂😂
 
Hili la chini lina Chogo kama Ramani yao😂
Na huwez amini 😂😂😂👇👇👇 Sijaona tofaut
images - 2024-04-24T133744.470.jpeg

SGR-Wagons-1068x712.jpg
 
Hilo la vizuri vya Tanzania tunavisema vyetu lipo akilini mwenu tu. Sasa kama mnavyoshinda mkisema huwa tunasena eti daraja lenu ni letu huoni huo ni ujinga? Shida yenu mmoja wenu akisema kitu wengine mnafuata tu. Akilaunch hilo daraja lenu Magufuli na chuki zake alisema, 'utawasikia wengine wakisema ni lao' bad hapo mkaanza kukariri eti tunasema ni letu wakati hakuna Mkenya aliye na haja nalo.

Banter huwa tunapiga hata na Uganda, Nigeria, SA na nchi zingine ila sijaona watu wanaochukulia banter seriously kama nyinyi. Yani Hadi mnafungua profiles kwa TikTok dedicated to Kenya.
Kuna video kibao zinazagaa mitandaoni mkiidanganya dunia kwamba vitu vyetu ni vywakwenu. Mpumbavu mmoja wewe unakataa 🤣🤣🤣
 
My friend
How will you know the distance between Dar and Dodoma when you are not a Tanzanian?

Are you aware that 722km divided by 3hrs is 241km/hr? How can a train with a maximum speed of 160km/h running at a speed of 120km/hr cover a distance of “722km” in 3hrs?

Hiyo ni hesabu ya Yemen ama?

Alafu mafala wanane wote wamelike the stupidity umeandika hapo juu.

View attachment 2972551
Railway distance is slightly different from Road distance.
 
Hizi picha inatakikana tuzisambaze kwa wakenya wote kwenye social media platform zote tik tok, FB, twitter, Nairaland etc ndo ili mtanzakundu akileta kichwa tunapita nacho.😎View attachment 2972660View attachment 2972661
Mchina hajuagi kusema uongo 😁😁😁

Screenshot_20240424-141633.jpg

 
Back
Top Bottom