Jinyonge kwenye Guesthouse Ulale.mende cancun
Wamesema millionaires and billionaires. Yani their numbers combined. Shida yenu huwa kiingereza kama kawaida.This is childish! Name one $Billionaire in Kenya.
Kwani uongoWewe hunanga content.
Wewe myemen sijui unakuanga na tatizo gani! Sasa Talanta unataka uonyeshwe nini na ujenzi ndio umeanza?!Tuoneshe hio talanta 🤣🤣🤣 daily dose
Kuna kasarani nyingine tofaut na hii nijulishe plz 😅😅😅😅😅
Fake life always
View attachment 2965339
Ilikua kila siku tunaoneshwa daily dose tunashangaa hatuoneshwi tena na tumemis daily dose?? Hebu post current tuone 🤣🤣🤣Wewe myemen sijui unakuanga na tatizo gani! Sasa Talanta unataka uonyeshwe nini na ujenzi ndio umeanza?!
kama hujui kiswahili acha kuandika usituharibie lugha yetu adhimu.Munakuanga
Naskia ana advert church yuko njiani kuanzisha kama mke wa Gachagua!Huyu Rachel ana akili iliyopinda kama ya kipmeno arap Teargas 😎
Wewe kenge, ni utamadumi balozi za nchi za kigeni kuwatakia kumbukizi ya sikukuu za wenyeji wao au kuwapa kongole kwa mafanikio yote waliyo nayo. Kitu cha kawaida sana. Yani kuwaona mkishabikia jambo la kawaida kama hili inamaanisha mna kiu sana cha validation kutoka kwa wazungu. Mkituita wazungu weusi inakuwanga projection maana ni nyie mnaowashobokea sana wazungu hata yule Mnaijeria alisema ukweli.
Tazama hizi ni the last tweet ya US Embassy in Kenya....................kwa hivo tuje hapa tujisifu juu ya vitu vya kawaida kama hivi? Wengine wenu huwa hamna exposure kabisa.
View: https://twitter.com/USEmbassyKenya/status/1779926716347031875
Tafuta na inapojengwa mpya ulete picha hapa manake hapo washapewa muda wa kusepa.Mbagala Bus station live bila chenga😃View attachment 2965285View attachment 2965286
imgne tukiongeza ndege 2 za mizigo.Yule mzee kwa kweli, acheni tuu, maoni yake hayakuwa ya kizazi hichi. Yaani tumewazidi hata Ethiopia walio na wanyama na ndege nyingi barani Afrika.
Tanzania kuna potential sana, tena uchumi wetu unajibeba wenyewe, mi hata ndege nne za mizigo naona sawa tuu. Serikali ikijibana na kuacha kununua vikofia na t-shirt za vikao, sijui nini, tutaweza kununua ndege nyingi.imgne tukiongeza ndege 2 za mizigo.