ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Nitakunywa. Unadhani huku ni jangwa kama Yemen?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndo maana unaitwa toilet boy from yemenView attachment 2965290
Nitakunywa. Unadhani huku ni jangwa kama Yemen?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndo maana unaitwa toilet boy from yemenView attachment 2965290
MYemeni angejulia wapi. Yemen kuna masomo?The abbreviation U/C ndio huelewi ama?
Kuna siku wakundustan walikua wanasema wanatupita kwenye meat consumption
View: https://twitter.com/hallaboutafrica/status/1777776392173731897?t=CK4KUNoSVcN_QY_JTPQc9w&s=19View attachment 2964830
Hizi statistics hazielezei meat consumption in Tanzania! meat consumption in Tanzania na beef export from Tanzania ni vitu viwili tofauti!Yule mzee kwa kweli, acheni tuu, maoni yake hayakuwa ya kizazi hichi. Yaani tumewazidi hata Ethiopia walio na wanyama na ndege nyingi barani Afrika.
Amepewa kwasababu Kenya hakuna wa kumpa hizo tuzo na ili ziwe maarufu duniani wameamua kijipendekeza wa Wana bongofreva worlds wideWacha vijana wa Kenya wapige pesa. Huko kwenu mngekuwa na talanta pia mngefanya hivo. Hata mimi nikijipata kwa situation kama hiyo nipewe dola zangu kama milioni moja hivi ndio nimuachie Mchina ashinde siwezi kataa. Hili linaonyesha jinsi Kenya inavyoeshimika kiriadha - yani angekuwa ameshinda Mtanzania hakuna mwenye angeona kama kaongwa ila akimshinda Mkenya lazima kufanywe investigation.
Sasa Kenya utampa nani tuzo uonekane relevant?Tuzo ni zetu. Tumewapea kitoken kama majirani maskini halafu mnarudi kujipiga vifua. Yani ombaomba urushiwe mfupa alafu uanze kuringia aliyekupa huo mfupa wakati kwake kumejaa minofu kwa friji.
Tuoneshe hio talanta 🤣🤣🤣 daily doseMYemeni angejulia wapi. Yemen kuna masomo?
Kufake data! Mpaka wasemeKundustans huweza nn maana hata export ya avocado tunawapeleiesha! Mind u Export ya crude oil ya Uganda yaja!
NiArticle inaongelea export ambayo Kenya tuko ndani ya top 10 mtanzakundu wewe unatuambia hekaya za consumption. Chakula Chenu ni matembere 😀
Nimekuwekea Tanzania leads in export and production, kalilie FAO HQArticle inaongelea export ambayo Kenya tuko ndani ya top 10 mtanzakundu wewe unatuambia hekaya za consumption. Chakula Chenu ni matembere 😀
Leads🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni
Nimekuwekea Tanzania leads in export and production, kalilie FAO HQ
Soma hapa uniambie nani anaproduce more bila kulia 😂😂😂Because we eat more meat than you. That's why we produce more yet you export more. Endeleeni kula mboga.
Hampo hata top 10 masikiniLeads🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Magufala ndo kakudanganya 🤣🤣🤣🤣Hampo hata top 10 masikini View attachment 2965375
what happened to the overrated SADC troops in DRC..lol and some impoverished SADC wannabes .Last week they received thorough beating from m23 😂 😂
View: https://youtu.be/RKJoZwwO4rc?si=bg6zf6CKZlNASEzF
Wewe hunanga content.Amepewa kwasababu Kenya hakuna wa kumpa hizo tuzo na ili ziwe maarufu duniani wameamua kijipendekeza wa Wana bongofreva worlds wide