Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbaya sana.

Ila why hukuchagua hata mkwakwani ukachagua huo?
Kama nilivyowaambia hapo awali, mna kiwanja kimoja kizuri, alafu karibu viwili vitatu vyenye nafuu ila vingine havina tofauti na viwanja vya shule hapa Kenya so hii mazoea yenu ya kujiona mna viwanja bora ni delusions of granduer tu. Kenya bado hatuko vizuri sector ya Viwanja ila ikija kwa ligi the average Kenyan team ina home ground bora kuliko Tanzania. Huu hapa ni wa Ihefu FC.

61260370_1716917601787943_3008553556383891456_n.jpg


Kusema kweli hapa Africa nchi inayoweza kujipiga kifua sector ya viwanja vya ligi ni SA pekee. Hizi nchi zingine utapata labda viwanja vinne vizuri alafu vingine vyote majanga.
 
Imagine hapa ni Nairobi karibu kabisa Bank of Kenya halafu unacheka masaki 9km from CBD

Hio Barabara ni karibu kabisa na city centre. Hakuna kuchekana Nairobi city is decaying nowadays View attachment 2964193
Nairobi is very backwards. Imagine hadi leo kuna vipanya vinapiga ruti katikati ya jiji. Kila kona kuna stand za vumbi mfano mzuri ni pale kona ya kuingilia Westgate Mall. Vipanya huku TZ tumeachana navyo zaidi ya miaka kumi iliyopita.
 
This time of the year I take family to Boston.. I usually time it with Boston Marathon weekend… but we stopped in New York.. and visited the Summit…. It’s when I was gazing the skyline from the top I remembered how some Bongo nut jobs claim Dar es Slum is the New York of Africa…🤣🤣🤣 take a look at this video I took and tell me .. does this look like the Uswazistan?…🤣🤣🤣
 

Attachments

  • 9bf3ce05-0b30-4bf1-ab67-2f763379f466.mov
    7.9 MB
Kama nilivyowaambia hapo awali, mna kiwanja kimoja kizuri, alafu karibu viwili vitatu vyenye nafuu ila vingine havina tofauti na viwanja vya shule hapa Kenya so hii mazoea yenu ya kujiona mna viwanja bora ni delusions of granduer tu. Kenya bado hatuko vizuri sector ya Viwanja ila ikija kwa ligi the average Kenyan team ina home ground bora kuliko Tanzania. Huu hapa ni wa Ihefu FC.

61260370_1716917601787943_3008553556383891456_n.jpg


Kusema kweli hapa Africa nchi inayoweza kujipiga kifua sector ya viwanja vya ligi ni SA pekee. Hizi nchi zingine utapata labda viwanja vinne vizuri alafu vingine vyote majanga.
Hapana kwa viwanja hamfikii Tanzania. Ukiachana na hizo viwanja vidogo vya club ila kila mkoa una kiwanja kikubwa na kumbuka tuna mikoa 26 plus Zanzibar. Dar pekee kuna viwanja vitatu vya kisasa i.e. Mkapa, Azam, Uhuru, na pia KMC wanamalizia uwanja wao wa kisasa. Zanzibar tuna uwanja mpya wa kisasa Kenya nzima hakuna. Kenya nzima hakuna uwanja modern kama Azam Complex cause ni dedicated football stadium. Tukianza kupost kimoja kimoja mtakimbia.
 
Hapana kwa viwanja hamfikii Tanzania. Ukiachana na hizo viwanja vidogo vya club ila kila mkoa una kiwanja kikubwa na kumbuka tuna mikoa 26 plus Zanzibar. Dar pekee kuna viwanja vitatu vya kisasa i.e. Mkapa, Azam, Uhuru, na pia KMC wanamalizia uwanja wao wa kisasa. Zanzibar tuna uwanja mpya wa kisasa Kenya nzima hakuna. Kenya nzima hakuna uwanja modern kama Azam Complex cause ni dedicated football stadium. Tukianza kupost kimoja kimoja mtakimbia.
Mimi nikiskia mtu akisema Azam Complex ni uwanja wa Kisasa huwa nacheka sana. This is basically a training ground. Yani Uwanja wa mtaa kama Dandora utatoa hii Azam complex kamasi. Yani ukienda nchi nyingine uwaambie eti Azam ni modern stadium in East Africa ataidharau sana East Africa. 🤣 🤣 🤣

277783873_2125874600901989_5960635858025927987_n.jpg
 
Umegopa kujibu swali au unajifanya hujaliona nauliza tena 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Why are Kenyans so dark?
We are Africans and we come in all shades … kwani wewe ni Mwarabu kama Toilet boy?..ama únasema hakuna dark people huko Bongo… wacha ujinga ..🤣🤣
 
Mimi nikiskia mtu akisema Azam Complex ni uwanja wa Kisasa huwa nacheka sana. This is basically a training ground. Yani Uwanja wa mtaa kama Dandora utatoa hii Azam complex kamasi. Yani ukienda nchi nyingine uwaambie eti Azam ni modern stadium in East Africa ataidharau sana East Africa. 🤣 🤣 🤣

277783873_2125874600901989_5960635858025927987_n.jpg
Nenda kalalamike CAF ambao wameupa approval ya kuchezesha international games...Kenya nzima hakuna uwanja kama huo ambao ni football arena...Facilities zote hapo ni top class...
 
Nenda kalalamike CAF ambao wameupa approval ya kuchezesha international games...Kenya nzima hakuna uwanja kama huo ambao ni football arena...Facilities zote hapo ni top class...
Kuwa na approval haimaanishi uwanja ni modern. Inamaanisha tu mmetilia maanani regulations ya vitu kama media center ambazo with a little renovation zinaweza wekwa tu. Kwa hivo usidanganywe na hiyo CAF. Huo uwanja wa Azam ni wa ovyo sana.
 
Kwa mfano, this was yesterday’s match Singida Fountain Gate agains Young Africans … imagine this is 1300km from Dar , entry ticket ni $4,
Fans are on their teams season kits, hii kits goes kwa $18, fans buy new kits kila Msimu, na uwanja Uko full house.

See the difference…
4DF6569A-06AC-4833-B7D8-A56BAB8F793A.jpeg
2690C1E7-3F17-4B71-9DD1-0BAA469CDB56.jpeg
2BCC80FE-F4B0-46DD-8A72-C3CCD621FD99.jpeg
574FA6D5-88EC-4DEB-A521-30F1C7869E0C.jpeg
B1E1A9A6-7171-4CAD-AA74-382333621E68.jpeg
 
Kwa mfano, this was yesterday’s match Singida Fountain Gate agains Young Africans … imagine this is 1300km from Dar , entry ticket ni $4,
Fans are on their teams season kits, hii kits goes kwa $18, fans buy new kits kila Msimu, na uwanja Uko full house.

See the difference…
View attachment 2964506View attachment 2964507View attachment 2964508View attachment 2964509View attachment 2964511
Kwani ikiwa 1300km from Dar ndio nini? Mwanza is your second largest City alafu unatuambia 1300km from Dar ndio ionekane ipo kijijini? Huwa mnanifurahisha mnavyo post kitu alafu mnaandika sijui 1000km from Dar wakati mnaongelea one of the biggest urban areas in your country. Halafu huo uwanja bado ni wa ovyo ama unadhani hatuujui? Angle na good camera inaufanya uonekane una nafuu kidogo ila ni uwanja wa ovyo sana.

mwanza-tanzania-02222023-aerial-view-of-the-ccm-kirumba-stadium-next-to-lake-victoria-2NM079F.jpg
 
Kwa mfano, this was yesterday’s match Singida Fountain Gate agains Young Africans … imagine this is 1300km from Dar , entry ticket ni $4,
Fans are on their teams season kits, hii kits goes kwa $18, fans buy new kits kila Msimu, na uwanja Uko full house.

See the difference…
View attachment 2964506View attachment 2964507View attachment 2964508View attachment 2964509View attachment 2964511
The things which amazes bongolalas😀??, this a local grassroots championship finals held today at mamboleo Kisumu city. Full to the brim and live streamed on YouTube for everyone to see. Obunga Fc (Nyanza) vs Langa (Riftvallley), Fans on the edge of their seats because of the bragging rights and cash prizes. Don't make a fuss out of normal things
IMG_20240415_202908.jpg
IMG_20240415_203015.jpg
 
Back
Top Bottom