ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Nyang'au hapo wivu tayari😎😎Kwa mfano, this was yesterday’s match Singida Fountain Gate agains Young Africans … imagine this is 1300km from Dar , entry ticket ni $4,
Fans are on their teams season kits, hii kits goes kwa $18, fans buy new kits kila Msimu, na uwanja Uko full house.
See the difference…
View attachment 2964506View attachment 2964507View attachment 2964508View attachment 2964509View attachment 2964511
All your best stadiums failed CAF quality test but Azam ikapass so it means ni the best...Kuwa na approval haimaanishi uwanja ni modern. Inamaanisha tu mmetilia maanani regulations ya vitu kama media center ambazo with a little renovation zinaweza wekwa tu. Kwa hivo usidanganywe na hiyo CAF. Huo uwanja wa Azam ni wa ovyo sana.
TUambie hii picha ni ya mwaka gani ?Kwani ikiwa 1300km from Dar ndio nini? Mwanza is your second largest City alafu unatuambia 1300km from Dar ndio ionekane ipo kijijini? Huwa mnanifurahisha mnavyo post kitu alafu mnaandika sijui 1000km from Dar wakati mnaongelea one of the biggest urban areas in your country. Halafu huo uwanja bado ni wa ovyo ama unadhani hatuujui? Angle na good camera inaufanya uonekane una nafuu kidogo ila ni uwanja wa ovyo sana.
![]()
Tanzania hizi tunaita Umiseta ni kwa ajili ya mashule....huwezi compare na ligi namba 6 barani Africa...by the way why Wakenya hawaendi viwanjani kuangalia mechi zao....ni kwamba hawana pesa or pesa ni ngumu sana huko Kenya😀The things which amazes bongolalas😀??, this a local grassroots championship finals held today at mamboleo Kisumu city. Full to the brim and live streamed on YouTube for everyone to see. Obunga Fc (Nyanza) vs Langa (Riftvallley), Fans on the edge of their seats because of the bragging rights and cash prizes. Don't make a fuss out of normal things View attachment 2964561View attachment 2964563
Una kaushamba fulani hivi😎This time of the year I take family to Boston.. I usually time it with Boston Marathon weekend… but we stopped in New York.. and visited the Summit…. It’s when I was gazing the skyline from the top I remembered how some Bongo nut jobs claim Dar es Slum is the New York of Africa…🤣🤣🤣 take a look at this video I took and tell me .. does this look like the Uswazistan?…🤣🤣🤣
You missed the pointTanzania hizi tunaita Umiseta ni kwa ajili ya mashule....huwezi compare na ligi namba 6 barani Africa...by the way why Wakenya hawaendi viwanjani kuangalia mechi zao....ni kwamba hawana pesa or pesa ni ngumu sana huko Kenya😀
Niambie ni nini kimebadilishwa kwa huo uwanja tangu hii picha ipigwe.TUambie hii picha ni ya mwaka gani ?
Tanzania hizi tunaita Umiseta ni kwa ajili ya mashule....huwezi compare na ligi namba 6 barani Africa...by the way why Wakenya hawaendi viwanjani kuangalia mechi zao....ni kwamba hawana pesa or pesa ni ngumu sana huko Kenya😀
Labda zwazwa yeye anahisi kupata CAF au FIFA standard ni kama Kula githeri just easy like that 😂😂😂😂😂😂😂All your best stadiums failed CAF quality test but Azam ikapass so it means ni the best...
Niko Boston ku cheer Wakenya kwa Marathon… na as usual, Kenyans never disappoint.. sasa wewe endelea kulia ukiwa Tandale ….🤣🤣Una kaushamba fulani hivi😎
Kundustan. Did you wash your anus today? Au unatembea na mbolea kama kawaida yenu?Niko Boston ku cheer Wakenya kwa Marathon… na as usual, Kenyans never disappoint.. sasa wewe endelea kulia ukiwa Tandale ….🤣🤣
Yaani kwa mawazo yako nipo Tandale ha ha ha; kalagabaho😎😎😎Niko Boston ku cheer Wakenya kwa Marathon… na as usual, Kenyans never disappoint.. sasa wewe endelea kulia ukiwa Tandale ….🤣🤣
Acha story za jaba. Hakuna BRT construction yoyote inayoendelea Kenya. Na hapo Bado sijaenda downtown Nairobi ni aibu kwa capital cityApo ni construction site ya BRT..heavy machinery ndio iliharibu hio barabara..
Ni pa hovyo sana. Huko downtown Kuna Hadi Barabara za vumbi halafu uko too congestedNairobi is very backwards. Imagine hadi leo kuna vipanya vinapiga ruti katikati ya jiji. Kila kona kuna stand za vumbi mfano mzuri ni pale kona ya kuingilia Westgate Mall. Vipanya huku TZ tumeachana navyo zaidi ya miaka kumi iliyopita.
TOPESTANNi pa hovyo sana. Huko downtown Kuna Hadi Barabara za vumbi halafu uko too congested
View attachment 2964629View attachment 2964632