buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Hivyo vyote na timu zenu zinaenda kucheza nje mechi za kalenda ya FIFA na CAF?Nairobi stadiums
Kasarani
Nyayo
Dandora
Ulinzi Sports Complex
Dar is slum stadiums
Makwapa
Yemen stadiums
None
Hivyo vyote na timu zenu zinaenda kucheza nje mechi za kalenda ya FIFA na CAF?Nairobi stadiums
Kasarani
Nyayo
Dandora
Ulinzi Sports Complex
Dar is slum stadiums
Makwapa
Yemen stadiums
None
Lets be honest with ourselves bro. Kati ya hivi viwanja viwili kipi kibovu? Weka ushabiki kando na ujibu swali.Una tatizo mzee, viwanja vyetu ni vibovu yeah ila sio kwa level ya Kenya, hiyo level ya Kenya unafungiwa.
Viwanja vyenu vinakosa nyansi za kutosha kwa pitch.
Kama huamini nenda social media za timu zenu uone wakiwa on action na uwanja. Ringanisha na Bongo.
Kwanza jiulize why ulishangilia render humu na daily dose ya madibwi.
Mna hamu sana na uwanja wa kueleweka which proves hamna kwa sasa.
Mzee unafeli eti nchi masikini?Huwezi elewa hizi vitu ju serikali yenu imewai nunua sts gantry crane tatu tu ju nyinyi ni nchi maskini. 😂 😂 😂 Sasa unataka kutupangia kazi, KPA ilipiga order ya 3 gantry cranes for Mombasa port berth 22 kwanza then Lamu port ilikua ifwatie. Leo hii Mombasa port ikona 16 STS gantry cranes na Lamu Port ina tatu. Huko bongoslum TPA inamiliki crane tatu pekee, moja at Mtwara Port, mbili at Dar is a slum port. Hizo STS crane zingine zote at dar is a slum port ni za private investors.
A no brainer question the Machakos pitch is pathetic!Lets be honest with ourselves bro. Kati ya hivi viwanja viwili kipi kibovu? Weka ushabiki kando na ujibu swali.![]()
![]()
Huo wa juu ni wa wapi? JKT TANZANIA au?Lets be honest with ourselves bro. Kati ya hivi viwanja viwili kipi kibovu? Weka ushabiki kando na ujibu swali.![]()
![]()
Unamfahamu Nyashi nsk?Lets be honest with ourselves bro. Kati ya hivi viwanja viwili kipi kibovu? Weka ushabiki kando na ujibu swali.![]()
![]()
Huo uwanja wa tanzakundu hauna hata markings, penalty inapimwa na miguu😃😃Lets be honest with ourselves bro. Kati ya hivi viwanja viwili kipi kibovu? Weka ushabiki kando na ujibu swali.![]()
![]()
Hiyo ni Home Ground ya Mtibwa Sugar - a premier league club in Tanzania.Huo wa juu ni wa wapi? JKT TANZANIA au?
Miguu kumi na mbili. 🤣Huo uwanja wa tanzakundu hauna hata markings, penalty inapimwa na miguu😃😃
Apparently hio ndio ligi bora afrika 🤣🤣🤣Miguu kumi na mbili. 🤣
Why are Kenyans so dark?Apparently hio ndio ligi bora afrika 🤣🤣🤣
Apo ni construction site ya BRT..heavy machinery ndio iliharibu hio barabara..Imagine hapa ni Nairobi karibu kabisa Bank of Kenya halafu unacheka masaki 9km from CBD
Hio Barabara ni karibu kabisa na city centre. Hakuna kuchekana Nairobi city is decaying nowadays View attachment 2964193
Mbaya sana.Hiyo ni Home Ground ya Mtibwa Sugar - a premier league club in Tanzania.
Inabidi auilizwe huyu kipmeno arap Teargas 😎😎Why are Kenyans so dark?
Si Bora huo uwanja unamilikiwa na team sio county 😂😂😂😂😂 muulize Ile machakos inamilikiwa na Nani?? Akikujibu nitagMbaya sana.
Ila why hukuchagua hata mkwakwani ukachagua huo?
Have you looked at your Putin photo lately?..🤣🤣🤣🤣🤣… Mr. Irony much!Why are Kenyans so dark?
Umegopa kujibu swali au unajifanya hujaliona nauliza tena 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Have you looked at your Putin photo lately?..🤣🤣🤣🤣🤣… Mr. Irony much!