Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shinyanga wapo waliochoka hadi huruma ila wanalima mpunga
Ndio nimemtolea mfano wa wanyamwezi wa Nzega wale ni waarabu,Rufiji kuna wandengereko waarabu,Kilwa kuna wangindo waarabu,ukienda makaburi ya kisutu kuna makaburi hadi ya Wahindu na budha wamezikwa pale.
Hajielewi huyo Posta kuna mpaka mtaa unaitwa Indian street na Kigamboni kuna mpaka mtaa unaitwa Arab street/mtaa wa waarabu na wamezaana na waswahili fresh na kibao wamezikwa makaburi msafa kisiwani mchepuko wa kuelekea Kibada.
Hawa jamaa ubaguzi /ukabila unawatafuna sana.
 
game over uliwapiga kwenye mshono, kazi yako inaonekana. 😂😂😂
Hakika mkuu, ni kama nikipulizia moshi kwenye pango la panya, wanatoka huko mmoja mmoja wakiwa wamechanganyikiwa
Kenya premier league is a typical joke 😀😀😀
CBAE77C6-F76E-41FF-A277-3EDCE8E48D19.jpeg
556918D3-710E-4DD4-BB63-AF895E420DF8.jpeg
 
Ukiwaona wakijifanya kushangaa Machakos stadium uutadhani timu zao zinachezea Emirates.😂😂
Una tatizo mzee, viwanja vyetu ni vibovu yeah ila sio kwa level ya Kenya, hiyo level ya Kenya unafungiwa.

Viwanja vyenu vinakosa nyansi za kutosha kwa pitch.

Kama huamini nenda social media za timu zenu uone wakiwa on action na uwanja. Ringanisha na Bongo.

Kwanza jiulize why ulishangilia render humu na daily dose ya madibwi.

Mna hamu sana na uwanja wa kueleweka which proves hamna kwa sasa.
 
Tanzania kuna tu stadium Moja zingine ni mashamba.

Nairobi alone has more and better stadiums than entire Tanzania.
Zitaje kama hutajali hizo better tuone, na kabla hujaziweka kumbuka kuna standard za kudermine "better stadium".

Timu yenu ya taifa mara ya mwisho kucheza nyumbani hapo Kenya, mechi za kalenda ya FIFA na CAF lini?
 
Back
Top Bottom