Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwalim alikuwa anaona mbali sana angalia kundurenda wanavyoteseka nowadays View attachment 2961771
Alafu kuna mpumbavu anasema ujamaa ulituharibu?

Like seriously? Umetupatia one of the best thing ever Unity and Peace.

Hao wakunya wanajua hii kitu ya NYARUBANJA FEUDAL SYSTEM ingetuletea matatizo makubwa kama ingeendekezwa na Jomo Kenyatta hata kuigawa Kagera kuwa Nchi.

Wanajua kua Ujamaa village ulisaidia kusambaza watu nchi nzima hivyo kutoa nafasi kila eneo la nchi kua na Ulinzi.

Na Umiliki wa Ardhi yenye rutuba yenye kustawi kila zao (Ni zawadi iliyoje).
 
Zanzibar 👇
zanzibardrones-20230929-0002.jpg
zanzibardrones-20230929-0001.jpg
zanzibardrones-20230929-0003.jpg
zanzibardrones-20221208-0002.jpg
zanzibardrones-20221208-0004.jpg
hotelverde_znz-20221026-0001.jpg
hotelverde_znz-20221026-0002.jpg
zanzibardrones-20230106-0003.jpg
zanzibardrones-20230106-0002.jpg
no wonder viongozi wenu wanakuja ZNZ kula bata instead of mombasa. 🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom