Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ahamedi Salim umemsahau kaka
Ona ulivyo fala,kihistoria toka lini Kenya ikajulikana zaidi ya Tanzania!?
1)Julius Kambarage Nyerere ni miongoni mwa watu mashuhuri duniani na aliingizwa katika hilo jarida 1990s.Je kuna rais wa Kenya aliyeingiza katika jarida la viongozi mashuhuri duniani??
2)Tanzania inajulikana Afrika kama nchi iloongoza kupatia mataifa mengine uhuru.Ndio maana unakuta Tanzania katika masuala ya kidiplomasia inapewa kipaumbele kuliko Kenya,Tulitoa General secretary wa UN Asha Rose Migiro na sasa tuna RAIS WA WABUNGE AMA SPIKA WA BUNGE DUNIANI DR.TULIA AKSON.Je Kenya mmetoa mtu yupi mashuhuri zamani na sasa!?
3)Rais Samia ameingizwa katika list ya wanawake mashuhuri duniani kwa sasa na kote ulimwenguni inafahamika.Je mna mwanamke mashuhuri Kenya ambae kiongozi!?
4)Tanzania kimpira imefanya ijulikane na sasa hivi ina wafuasi wengi mpaka Spain mathalan Mussonda mchezaji wa Yanga aliletewa zawadi kutoka Hispania hivyo inamaanisha NBC PL inatizamwa.Vipi kuhusu ninyi!?
Hayo yanakutosha pambana na hayo kwanza.
 
lol
FB_IMG_1712779195615.jpg
 
Picha Moja unaleta mara ishirini? Is that there is in Zanzibar ndio sasa ishinde Mombasa?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kuna kitu gani kipo Mombasa znz hakuna

Znz kuna 5star hotel nyingi kuliko mji wowote Kenya

Znz kuna masoko yakisasa na kuna bus terminal ya kisasa inajengwa mjini

Znz ina modern and biggest international airport kuliko Mombasa

Znz ina hospital za kisasa na kubwa kuliko Mombasa

Znz ina state house ya kisasa na kubwa kuliko Mombasa

Znz ina clean water supply kuliko Mombasa ambayo mji hauna maji

Znz ina modern marine transport kuliko mji wowote Kenya na Africa yote kwa ujumla

Znz ina beautiful roads kuliko Mombasa

Znz inapokea watalii wengi kuliko Mombasa

Niendelee au inatosha ??๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom