Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Finals za AFCON haziwezi kufanyiwa hapa kwa hii slum. 😂 😂 😂

May be an image of text that says 'Umegundua nini, kwenye picha hii? f EastAfricaTV EastAfricaRadio'
 
Cap! I knew i could lose summa y’all slow folks who got nunna that hood slang thang goin on…
Huyo Magonjwa Matapiko ananikumbusha jamaa Fulani alikuwa humu alikuwa anaitwa Askari Kanzu. Fala haikuwa na content. Hungeipata imeandika more than one sentence halafu hiyo sentence ni ufala tu.
 
Finals za AFCON haziwezi kufanyiwa hapa kwa hii slum. 😂 😂 😂

May be an image of text that says 'Umegundua nini, kwenye picha hii? f EastAfricaTV EastAfricaRadio''Umegundua nini, kwenye picha hii? f EastAfricaTV EastAfricaRadio'
Muone huyu fala analeta picha za kipindi cha Kikwete.
Chang'ombe hakuna nyumba za hivyo uwanja wa Taifa umezungukwa na ofisi za serikali na lounges hakuna nyumba za kuishi eneo hilo.
MUTAKE MUSITAKE CAF imeridhia Afcon kwasababu ya huo uwanja na fainali mtake msitake zitakua Tanzania.
Mkapa stadium ina historia ya michuano ya CAF.
Unaweza nitajia ninyi mliwahi host mashindano yapi ya CAF??
 
L
Muone huyu fala analeta picha za kipindi cha Kikwete.
Chang'ombe hakuna nyumba za hivyo uwanja wa Taifa umezungukwa na ofisi za serikali na lounges hakuna nyumba za kuishi eneo hilo.
MUTAKE MUSITAKE CAF imeridhia Afcon kwasababu ya huo uwanja na fainali mtake msitake zitakua Tanzania.
Mkapa stadium ina historia ya michuano ya CAF.
Unaweza nitajia ninyi mliwahi host mashindano yapi ya CAF??
Eta picha ya kipindi cha Suluhu tuone 😂
 
Back
Top Bottom