Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Embu uache ubishi we jamaa.
Taratibu za Tanzania afisa tabibu msahara wa kwanza laki nane na nusu za shilingi pamoja na marupurupu.
Daktari wa intern mwenye degree hupewa laki tisa na nusu mpaka milioni moja na laki moja.
Daktari wa degree ambaye ameshaajiriwa mshahara wa kwanza milioni moja na laki nne.
Uwe unaacha ubishi wa kitoto.
NIKUONGOPEE ILI NIPATE FAIDA GANI??
Badilisha hizo fedha kwenda kwenye dola.

Ukisemea hivyo nikianza kutaja Morogoro,Pwani,Tanga,Iringa,Mwanza na kwingineko maisha ni bei rahisi saaanaaaaa kuliko SEHEMU YEYOTE KENYA.
Na Dar es salaam kilicho bei ni masuala ya ujenzi labda na makazi.
Ila kuanzia vyakula mpaka mavazi mpaka matibabu hakujatofautiana na mikoa mengine.

Bado unaendekeza ubishani wa kitoto narudia tena laki nane mpaka laki tisa ya ki-Tanzania ina uwezo kusukuma maisha ya Mtanzania tena akiwa na familia.
Je kes elfu sabini ina uwezo wa kusukuma maisha ya Mkenya mwenye familia??
Nenda rudi mshahara wetu ni toshelezi wala sio umasikini BALI MSHAHARA WETU TOSHELEZI kwa gharama za maisha kitu ambacho Kenya kiko tofauti.
Hapa tutabishana mpaka kesho.
Kaka usihangaike nae hakujua CO ni nani kabla ya kumuwelewesha.
 
Mambo kama haya bhana

1711458613665.png
 
Kenge ni wewe hapo ambae una wivu na unaumia ukisikia jina la Samia 😁😁😁

Bado hujasema Hadi useme 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C48MxFyMzHZ/?igsh=MWE0dnhpOXc4bzltbQ==

Kenge ni wewe hapo ambae una wivu na unaumia ukisikia jina la Samia 😁😁😁

Bado hujasema Hadi useme 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C48MxFyMzHZ/?igsh=MWE0dnhpOXc4bzltbQ==


Jaribu kuipenda akili ili nayo iwe karibu na wewe mara kwa mara.
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua Kiwanda cha kuwekea mifumo ya kupasha na kutunza joto katika mabomba yatakayosafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani Tanga nchini Tanzania kupitia Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi.

1711464516831.png


1711464551859.png
 
Back
Top Bottom