[emoji23][emoji23] Kenya wanawaona Watanzania kama Mungu nisiwafiche.. Nakumbuka mwaka 2010 nilienda Kenya ilikua trip ya Shule kwenda Fort Jesus, Tulipitia Tanga Amboni caves then tukapitia Mombasa.. Tulivyofika Nakumat wafanyakaz wote mule walikua wanatuangalia wanashangaa,(tulikua na School uniforms) mpaka kuna limama likanipa namba, mmoja Wa wafanyakaz mule nakumat, Tukaenda beach wakaanza kuwaita wale madem tulioendanao "Malaika Wa Daressalaam"[emoji23][emoji23] nilichoka.. Usione wanabishana tu apa Rohoni wanaikubali sanaaaa Tz.. Na kitu wanachokubali sana ni Kiswahili chetu.. Lugha ambayo inaongoza kuongewa kwenye movie za hollywood ukitoa kifaransa na kihispania[emoji23][emoji23]