ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Unamuumiza sana mshkaji 😀😀😀 anakosa poziBado unaitaja SA right...mbona tukiitaja kwenye mifano Hai mnaumia sana mioyo?
C'mon man let's change the subject
Unamuumiza sana mshkaji 😀😀😀 anakosa poziBado unaitaja SA right...mbona tukiitaja kwenye mifano Hai mnaumia sana mioyo?
C'mon man let's change the subject
hapo ndio mwisho wa hilo jengo bring a link that state it as 10 floors..alafu times tower hs 38 floors dudeKwenye skyscrapercity hata mm naeza fungua thread nikaandika nachojua mimi😀😀😀😀😀 so sio hoja isipokua ukweli uko hapa chini
View attachment 640507
kwa nini usikufe na nchi yako man..kutaja taja south Africa kila saaBado unaitaja SA right...mbona tukiitaja kwenye mifano Hai mnaumia sana mioyo?
C'mon man let's change the subject
Times TowerTuoneshe ndugu naisubiri😀😀😀😀
Ukitoa mf kwa Africa utaweka nchi gani?usilete uzalendo wa kindezi apa tafadhalikwa nini usikufe na nchi yako man..kutaja taja south Africa kila saa
Tuoneshe bro nasubiri😀😀😀hapo ndio mwisho wa hilo jengo bring a link that state it as 10 floors..alafu times tower hs 38 floors dude
Simamia hapo 1750 megawatts hiyo ingine ni futuristic na pia Kenya iko na such plans sio Tz peke yake. Kwa sasa kubali Kenya inaproduce more electricity than Tz, Kenya iko na SGR Tz Haina, Kenya airways best in Africa Tz haipo hapo, Superhighways in Kenya Tz hamna hata moja etc etc.Kwa sasa tunatoa 1750MW
Tuko mbioni kuongeza zaidi ya 2100MW in three 3yrs to come
Najua mko na 2500MW +-
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
haha tumekua na over 30 uko ma 1990s nyinyi mnaipata 2015 mnaanza kelele...tunajenga 70 sijui serikali yenu imeamuaje .Kama two towers tuanze kuhesabu over 30😀😀😀
Hakuna haja yakulia plz😀😀😀😀😀haha tumekua na over 30 uko ma 1990s nyinyi mnaipata 2015 mnaanza kelele...tunajenga 70 sijui serikali yenu imeamuaje .
Google tu. Haichukui hata dakika mojaNioneshe nasubiria hapa😀😀😀 wewe niletee hilo jengo
this building is just soooo beautiful
true....Dar imejengeka only from 2 years ago...washamba hawa...sisi hatutaki mchezo 70 and 45 floors sasahaha tumekua na over 30 uko ma 1990s nyinyi mnaipata 2015 mnaanza kelele...tunajenga 70 sijui serikali yenu imeamuaje .
Mnaongoza kwa kupika data kwenye uhalisia hamumo lambda mshindane na somalia au afrika ya kati make tz ni kisiki cha mpingo haikamatikiSimamia hapo 1750 megawatts hiyo ingine ni futuristic na pia Kenya iko na such plans sio Tz peke yake. Kwa sasa kubali Kenya inaproduce more electricity than Tz, Kenya iko na SGR Tz Haina, Kenya airways best in Africa Tz haipo hapo, Superhighways in Kenya Tz hamna hata moja etc etc.
Asiyekubali kudhindwa ni Mtanzania wakati hana anything to show hata kiuchumi Kenya inaongoza ukanda wa afrika ya kati na mashariki with facts.
Kinyerezi 1 inazalisha 180MW na imeshaanza kazi ya kuzalishaSimamia hapo 1750 megawatts hiyo ingine ni futuristic na pia Kenya iko na such plans sio Tz peke yake. Kwa sasa kubali Kenya inaproduce more electricity than Tz, Kenya iko na SGR Tz Haina, Kenya airways best in Africa Tz haipo hapo, Superhighways in Kenya Tz hamna hata moja etc etc.
Asiyekubali kudhindwa ni Mtanzania wakati hana anything to show hata kiuchumi Kenya inaongoza ukanda wa afrika ya kati na mashariki with facts.
😀😀😀😀 Usilie bro plz, zikwapi??asante kwa renderstrue....Dar imejengeka only from 2 years ago...washamba hawa...sisi hatutaki mchezo 70 and 45 floors sasa
wewe kwanza uconfirm TPA ni 40 before tuendeleeTuoneshe bro nasubiri😀😀😀
So kwa akili yako unaona hilo jengo linaendelea ndio watu wa skyscrapercity wanavokudanganyeni hvo😛😛 jengo hilo halijafikisha hata 30floors utake usitake
Uzuri maendeleo hayajifichi,tena kuhusu sgr bora tu ungemezea maana yetu itapoisha mtalimia meno! !Simamia hapo 1750 megawatts hiyo ingine ni futuristic na pia Kenya iko na such plans sio Tz peke yake. Kwa sasa kubali Kenya inaproduce more electricity than Tz, Kenya iko na SGR Tz Haina, Kenya airways best in Africa Tz haipo hapo, Superhighways in Kenya Tz hamna hata moja etc etc.
Asiyekubali kudhindwa ni Mtanzania wakati hana anything to show hata kiuchumi Kenya inaongoza ukanda wa afrika ya kati na mashariki with facts.
ndugu, unadhani nasi tumesimama kimaendeleo? wakati mnamaliza hio SGR yenu nasi tutakua tumesimama tukiwaangalia tu sio?😀😀😀😀Uzuri maendeleo hayajifichi,tena kuhusu sgr bora tu ungemezea maana yetu itapoisha mtalimia meno! !
Umeme soon tutaongeza 500 MW, 240 MW kinyerezi II, zingine za upepo...so hatujalala usingizi,highway nakubali [emoji122] mko vyema but not so far tutakua na yetu japo mchakato haujaeleweka bado