Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie wabongo mnapenda sana kuabudu SA sijui ni kwa nini. That's called inferiority complex
Ndio sababu yao kubwa kuwa Kenyan section ya JF kujaribu kujilinganisha nasi knowing very well ligi yao ni kina Central African Republic ama Chad.
 
Sasa wewe mbona unaupuuzi ilhali unaujua huo ndio mfano halisi? Hamna iyo sifa najua mliitaka sana ,ni ukwel usiopongika sa mimi kuitaja inafit kwenye mazungumzo yale kama umeumia sana unstall jamii forum

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ni sawa lakini si kutajataja SA saa zote kana kwamba ni mbinguni. Saa zingine ni vizuri mtu kijiamini and I think that's what has made the difference between us Kenyans and you Tanzanians
 
Ni sawa lakini si kutajataja SA saa zote kana kwamba ni mbinguni. Saa zingine ni vizuri mtu kijiamini and I think that's what has made the difference between us Kenyans and you Tanzanians
Ndio mnajiamin hadi mlima klm ni wenu right? Mnautapeli ndani yenu sio suala is kujiamini....infact tuyaache hayo...leta hoja ingine tudiscuss
 
Unaota mchana kweupee...ofcz ni ndoto nzuri

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
kitu yenye iko Proposed ndio iko kwa ndoto
bado ikue Approved kisha ichukue mwaka ndio waanze Site Preparation.... by then Kenya will be proud of having the tallest tower in the continent.... at least for some years to come
 
Kawaida yako ukibanwa Kwa kona unakosa hoja na kuleta visingizio na vijisababu. whether Nyerere alisema last year au 1920 cha msingi ni kwamba alitamka hayo maneno Mbona tu usikubali yaishe? Halafu story ya mashamba yanatoka wapi? Niko na hekari kama 50 hivi unaeza kuja nikupatie kidogo
Sasa nakwambia ukweli huutaki ndio alisema lakini 80s na leo 2017😀😀😀😀 kwanini unapata hasira hvo nikizungumzia habari ya ardhi😛😛😛
 
Kwenye skyscrapercity hata mm naeza fungua thread nikaandika nachojua mimi😀😀😀😀😀 so sio hoja isipokua ukweli uko hapa chini
IMG_0935.jpg
 
kitu yenye iko Proposed ndio iko kwa ndoto
bado ikue Approved kisha ichukue mwaka ndio waanze Site Preparation.... by then Kenya will be proud of having the tallest tower in the continent.... at least for some years to come
From 2014 to 2017 and then unaongeza minne tena na mm nakuongeza mingine 5😀😀😀
 
Ndio mnajiamin hadi mlima klm ni wenu right? Mnautapeli ndani yenu sio suala is kujiamini....infact tuyaache hayo...leta hoja ingine tudiscuss
Huo "utapeli" ndio iliyosaidia SA mnayoabudu kufanikiwa kimaendeleo mbele yenu.The same same "utapeli" ndio pia imefanya Kenya kuwa na maendeleo na uchumi kubwa kuwashinda. Hata nyie pia mko huru kuwa watapeli if that's what it takes to be a role model to others. The sooner Danganyikans stop burying their heads in the sand, the better for their country.
 
Iyo ingetosha kuproduce umeme mwing sana, kufanya research na kuanza kuunda vifaa vya kivita
 
Huo "utapeli" ndio iliyosaidia SA mnayoabudu kufanikiwa kimaendeleo mbele yenu.The same same "utapeli" ndio pia imefanya Kenya kuwa na maendeleo na uchumi kubwa kuwashinda. Hata nyie pia mko huru kuwa watapeli if that's what it takes to be a role model to others. The sooner Danganyikans stop burying their heads in the sand, the better for their country.
Bado unaitaja SA right...mbona tukiitaja kwenye mifano Hai mnaumia sana mioyo?
C'mon man let's change the subject
 
Back
Top Bottom