Kwa hivyo unakana kwamba Nyerere hakutamka haya maneno? vipi wewe!Mkuki kwa nguruwe bana...mkiambiwa ukweli wenu mnalia kilio cha mbwa mwizi
Kunywa maji
wacha kuongelea kuhusu vitu viko proposed.... tunataka vitu already viko on the ground, running.Sema jengo moja refu...majengo marefu yako SA, Na kama ilikua hujui Durban wanaproject ya kujenga tallest tower flr 88 izo ni chai Za kukuzima tu...
Meanwhile Tz tuko Na project ya kujenga bwawa lakugenerate 2100 MW za umeme!! Nadhan iyo ni 85% ya umeme wote wa Kenya kwa sasa
duh! wewe kweli t-time alikupagawishaSema jengo moja refu...majengo marefu yako SA, Na kama ilikua hujui Durban wanaproject ya kujenga tallest tower flr 88 izo ni chai Za kukuzima tu...
Meanwhile Tz tuko Na project ya kujenga bwawa lakugenerate 2100 MW za umeme!! Nadhan iyo ni 85% ya umeme wote wa Kenya kwa sasa
Alitumia mwaka 80s 😀😀😀😀 tena washukuruni wakoloni na bado ndio wameshikilia mashamba makubwa yote kenya mpaka dunia inasmama😛😛Cha kushangaza ni kwamba huo mji mchafu ndio baba wenu wa taifa Kambarage Nyerere alitumia kama mfano akiwaambia nyie wabongolala kwamba mkitaka kuona au kwenda ulaya, hakuna haja ya kupanda ndege kwenda ulaya, ulaya iko tu hapa Nairobi. Wakati mmeanza maendeleo juzi, sisi tulianza hizo enzi while you still buried your heads in the sand in the name of ujamaa
Where are they tuoneshe 😀😀😀😀😀wacha kuongelea kuhusu vitu viko proposed.... tunataka vitu already viko on the ground, running.
by the time wakianza ujenzi wa 88flr, sisi tutaanza 100flrs
inaitwaje hiyo project wewe na wewe unaonaga SA as if ni binguniSema jengo moja refu...majengo marefu yako SA, Na kama ilikua hujui Durban wanaproject ya kujenga tallest tower flr 88 izo ni chai Za kukuzima tu...
Meanwhile Tz tuko Na project ya kujenga bwawa lakugenerate 2100 MW za umeme!! Nadhan iyo ni 85% ya umeme wote wa Kenya kwa sasa
boss prism ni 34 flrsWhere are they tuoneshe 😀😀😀😀😀
Over 33 fl hamuna munawaza 100 😛😛😛
😀😀😀😀😀 1+1 = 2 na sio 11boss prism ni 34 flrs
Stieglers gorgeinaitwaje hiyo project wewe na wewe unaonaga SA as if ni binguni
Ukweli hua unakuumiza sana vumiliainaitwaje hiyo project wewe na wewe unaonaga SA as if ni binguni


Kawaida yako ukibanwa Kwa kona unakosa hoja na kuleta visingizio na vijisababu. whether Nyerere alisema last year au 1920 cha msingi ni kwamba alitamka hayo maneno Mbona tu usikubali yaishe? Halafu story ya mashamba yanatoka wapi? Niko na hekari kama 50 hivi unaeza kuja nikupatie kidogoAlitumia mwaka 80s 😀😀😀😀 tena washukuruni wakoloni na bado ndio wameshikilia mashamba makubwa yote kenya mpaka dunia inasmama😛😛
Nyie wabongo mnapenda sana kuabudu SA sijui ni kwa nini. That's called inferiority complex
Hahahaha mwaka gani huo? He kwa sasa mnaproduce kiasi gani ukilinganisha na Kenya? ...Hahahaha na usijibu ukitokwa na povu leta Facts backed by data si domo domo...hahahaha.Sema jengo moja refu...majengo marefu yako SA, Na kama ilikua hujui Durban wanaproject ya kujenga tallest tower flr 88 izo ni chai Za kukuzima tu...
Meanwhile Tz tuko Na project ya kujenga bwawa lakugenerate 2100 MW za umeme!! Nadhan iyo ni 85% ya umeme wote wa Kenya kwa sasa
Sasa wewe mbona unaupuuzi ilhali unaujua huo ndio mfano halisi? Hamna iyo sifa najua mliitaka sana ,ni ukwel usiopongika sa mimi kuitaja inafit kwenye mazungumzo yale kama umeumia sana unstall jamii forumNyie wabongo mnapenda sana kuabudu SA sijui ni kwa nini. That's called inferiority complex
Kwa sasa tunatoa 1750MWHahahaha mwaka gani huo? He kwa sasa mnaproduce kiasi gani ukilinganisha na Kenya? ...Hahahaha na usijibu ukitokwa na povu leta Facts backed by data si domo domo...hahahaha.
Iko 38flrWhere are they tuoneshe 😀😀😀😀😀
Over 33 fl hamuna munawaza 100 😛😛😛
Unaota mchana kweupee...ofcz ni ndoto nzuriwacha kuongelea kuhusu vitu viko proposed.... tunataka vitu already viko on the ground, running.
by the time wakianza ujenzi wa 88flr, sisi tutaanza 100flrs