ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Huna akili wewe hospital zote za nchi hii ni lazma zisimamiwe na wizara na lazma ziwe na vibali kutoka wizara na lazma itambulike na wizara na ni lazma zikidhi vigezo na viwango vilivyowekwa π€£π€£π€£π€£π€£Inaonekana wewe ndio unajua kuliko serikali. π π π π π Sawa Waziri wa Afya aka Toilet Boy aka Mwarabu Bandia.
View attachment 2936689
Tanzania sio kama Kenya madaktari wanalala wanaamka wanawaza kigoma kufanya KAZI ππ
View: https://twitter.com/ntvkenya/status/1768705990424150183?t=uUuEgbyMAJoXWDICaZEgnA&s=19