Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Young Kenyans are very creative and doing big … I don’t think there is anywhere else in sub Saharan Africa where real estate sells that fast.. even the new sister city to Tatu is 70% sold out…watu wana pesa jamani…
I know of someone from USA who just finished paying for her unit....around ksh 8.9 million
 
Nope!… they are reacting to Kenya’s scrutiny..😂😂😂
Exactly. Halafu wamefichuliwa uchi. Their media normally is banned by the government from reporting such issues to manipulate them. Ukichunguza utagundua it's mostly foreign media reporting about this. Hawa msaada wanapata yearly but Siisiiemu hawakubali ireportiwe.🤣🤣
 
Kwani nimesema ya serikali??
Nimesema ina ushirika na serikali na uendeshaji wake inaendeshwa na wizara ya afya.
Lutheran ni kama tu kiongozi wa anarchy state.
Ila operating body ni serikali ya Tanzania kuanzia ruzuku ya uendeshaji mpaka mishahara.
Kulikua kuna lengo la kuanzisha hii hospitali na wito huu aliuita Baba wa taifa akikusanya wakatoliki wenye maokoto pande mbali mbali.
Umenyoroshwa kama mbwa. 😂 😂 😂 😂
 
Where the middle class hide in Dar es salaam
20240313_201507.jpg
 
Usinambie serekali haina ushirika KCMC 😂
How can it be private bado kuna ruzuku za serekali zinaenda hapo na bado kuna ushirika wa serekali?? How can private hospital ikawa na ushirika na serekali tena mpaka kwenye budget kuu ya wizara na yenyewe ipo

Mm au ww Nani asiejua ???😂😂😂😂
View attachment 2936558
Kwahiyo kitengo cha cancer majengo na machine gharama yake ni Tshs 4 bln! Wacha upumbavu! Wacha upumbavu wa kulazimisha vitu, serikali haikatazwi kuanzisha hospitali yake kama ilivyoanzisha Mawenzi na Pia kuanzisha hicho kitengo pale Mawenzi!

Ila ile hospitali si ya serikali Tena Nyerere alichelewesha sana mipango ya KCMC na BUGANDO Kuwa vyuo! Sio kila kitu unajua mzee! Nina uhakika kama serikali isingeirudisha KCMC kwa kanisa chuo na Hiyo Taasisi visingeanzishwa!
 
Kwahiyo kitengo cha cancer majengo na machine gharama yake ni Tshs 4 bln! Wacha upumbavu! Wacha upumbavu wa kulazimisha vitu, serikali haikatazwi kuanzisha hospitali yake kama ilivyoanzisha Mawenzi na Pia kuanzisha hicho kitengo pale Mawenzi!

Ila ile hospitali si ya serikali Tena Nyerere alichelewesha sana mipango ya KCMC na BUGANDO Kuwa vyuo! Sio kila kitu unajua mzee! Nina uhakika kama serikali isingeirudisha KCMC kwa kanisa chuo na Hiyo Taasisi visingeanzishwa!
Serekali inaekeza VP kwenye hospital private?? Ww uliskia wapi serekali inapanga budget ya wizara na hospitali private ikawepo kwenye budget??

Mzee unazeeka Vibaya kumbe nilikua namjua uzee ni busara kumbe nimesahau na wendawazimu pia wanazeeka🤣🤣🤣🤣🤣

Huwez kuita hospital private wakat serekali inaubia kwenye hospital hio na pesa za ruzuku zinatoka kwenda hospital hio kama hospital zingine za serekali
Hata bugando yenyewe ina ruzuku na ubia kutoka serekali kuu

Akili ndogo haiwez kuongoza akili kubwa nimemaliza 😁😁😁😁😁
 
Serekali inaekeza VP kwenye hospital private?? Ww uliskia wapi serekali inapanga budget ya wizara na hospitali private ikawepo kwenye budget??

Mzee unazeeka Vibaya kumbe nilikua namjua uzee ni busara kumbe nimesahau na wendawazimu pia wanazeeka🤣🤣🤣🤣🤣

Huwez kuita hospital private wakat serekali inaubia kwenye hospital hio na pesa za ruzuku zinatoka kwenda hospital hio kama hospital zingine za serekali
Hata bugando yenyewe ina ruzuku na ubia kutoka serekali kuu

Akili ndogo haiwez kuongoza akili kubwa nimemaliza 😁😁😁😁😁
Upeo mdogo ndo unakufanya usielewe! Mkuu wa KCMC si wizara Bali askofu wa Lutheran church! Halafu hospitali inaitwa Kilimanjaro Christian Medical Center halafu bado unabisha! Tangu lini Hospitali ya serikali ikaitwa Jina la Taasisi ya kidini? Serikali inasaidia kulipa mishahara kwavile zile hospitali zinahudumia watu wote na ni mbadala wa hospitali serikali ilitakiwa ijenge!

Fananisha na Muhimbili
IMG_0112.png

IMG_0113.png
 
Serekali inaekeza VP kwenye hospital private?? Ww uliskia wapi serekali inapanga budget ya wizara na hospitali private ikawepo kwenye budget??

Mzee unazeeka Vibaya kumbe nilikua namjua uzee ni busara kumbe nimesahau na wendawazimu pia wanazeeka🤣🤣🤣🤣🤣

Huwez kuita hospital private wakat serekali inaubia kwenye hospital hio na pesa za ruzuku zinatoka kwenda hospital hio kama hospital zingine za serekali
Hata bugando yenyewe ina ruzuku na ubia kutoka serekali kuu

Akili ndogo haiwez kuongoza akili kubwa nimemaliza 😁😁😁😁😁
Inaonekana wewe ndio unajua kuliko serikali. 😂 😂 😂 👇 👇 Sawa Waziri wa Afya aka Toilet Boy aka Mwarabu Bandia.

1710617313118.png
 
Upeo mdogo ndo unakufanya usielewe! Mukunza wa KCMC si wizara Bali askofu wa Lutheran church!

Fananisha na MuhimbiliView attachment 2936688
View attachment 2936687
Huoni member government hapo 😁😁😁
Yani sijui hata unabishana kitu gani mzee huwezi kusema Airtel inamilikiwa na Airtel kwa asilimia 100 wakat serekali ina share 49%

Ndio maana nikakwambia sijakataa inamilikiwa na kanisa lakini haibadilishi maana kua serekali sia mbia kwenye hospital hio kama ilivo bugando same issue

Ndio maana zimekua ni referral hospitals chini ya usimamizi wa serekali hata kwenye budget ya wizara hospital hzo zipo zinaangaliwa na serekali

Simple and clear 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom