Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


🤣🤣🤣🤣🤣Lamamayeee.
Halafu wanataka waende Haiti akati wana Haitians kibao Kenya🤣🤣🤣
Screenshot_2024-03-16-18-23-54-45_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
🙏🙏 Serikalini imenifurahisha sana.

Imetangaza tenda ya kufanya feasibility study ya section ya Barabara ambayo nilipendekeza ijengwe kutoka Mpanda-Iringa-Mtwara via Inyonya-Kishelo-Rungwa JCT-Ruaha NP-Iringa👇👇
Screenshot_20240308-073206.jpg


Hizo ndio Barabara za kukopa pesa na kujenga Ili tuwape DRC option nyingine ya Bandari.
Screenshot_20231223-142659.jpg
 
Ona huyu ng'ombee.


Bugando ni hospitali ya ushirika ambayo inalelewa na serikali.
Ruzuku na uendeshaji unatoka serikalini na ndio hospitali ya kanda kwa kanda ya ziwa.
Toka mwaka uanze 2023 Tanzania ilianzisha mpango wa kupeleka madaktari bingwa hospitali za rufaa za mkoa na kikanda ili kupunguza rundo la kuhangaika kupeleka rufaa muhimbili.
Hii hapa KCMC.
Hii ni hospitali ya kanda ya kaskazini.View attachment 2936458View attachment 2936459
KCMC is a private hospital. 😂 😂 😂 Yani hata hujui public hospitals zenu. Show me public hospitals that does brain and spinal surgery in bongoslum. Si wewe ndio hujifanya hutambui private hospitals. 😂 😂 😂

 
IS this how you are lying to yourselves!?
Are all those 16k health facilities government owned??
Are you really serious Kenyan government built 16k health facilities!?
Tanzania now has 12k health facilities and luckly most of them government owned thats why our citizens have sufficient provision of health services.
You might be in a sober.
Are all those 114k schools government owned??
Naona hata aibu kukujibu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Hata upige nduru aje the truth remains that Kenyan government has built more health facilities that Tanzanian government.
 
KCMC is a private hospital. 😂 😂 😂 Yani hata hujui public hospitals zenu. Show me public hospitals that does brain and spinal surgery in bongoslum. Si wewe ndio hujifanya hutambui private hospitals. 😂 😂 😂

🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ona hii ng'ombe.
KCMC ni Faith based organisation inayolelewa na serikali.
Hao staff members wa KCMC wanalipwa na serikali ya Tanzania na kila mwezi 1 billion Tzsh huingizwa KCMC kwaajili ya uendeshaji.
Hata ujenzi wake 70% kuanzia ardhi mpaka jengo ni serikali.
KCMC na BUGANDO HAVINA TOFAUTI NA NDIO MAANA IMEWEKWA KAMA HOSPITALI YA KANDA.
Kwani hakuna private hospitals Moshi??
Mbona MOI hawakuenda kwingine wakaenda KCMC??
Screenshot_2024-03-16-18-35-06-40_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ona hii ng'ombe.
KCMC ni Faith based organisation inayolelewa na serikali.
Hao staff members wa KCMC wanalipwa na serikali ya Tanzania na kila mwezi 1 billion Tzsh huingizwa KCMC kwaajili ya uendeshaji.
Hata ujenzi wake 70% kuanzia ardhi mpaka jengo ni serikali.
KCMC na BUGANDO HAVINA TOFAUTI NA NDIO MAANA IMEWEKWA KAMA HOSPITALI YA KANDA.
Kwani hakuna private hospitals Moshi??
Mbona MOI hawakuenda kwingine wakaenda KCMC??View attachment 2936476
Hospitali ya kanisa is not a public hospital. Ministry of Health yenu imeandika vizuri it's a private hospital. Wewe unapinga kama nani? 😂 😂 😂 👇 👇 Serikali yenu haikujenga hio hospitali kwa hivyo hawaimiliki. Show me public hospitals.
Screenshot_20240316-184735.jpg
 
KCMC is a private hospital. 😂 😂 😂 Yani hata hujui public hospitals zenu. Show me public hospitals that does brain and spinal surgery in bongoslum. Si wewe ndio hujifanya hutambui private hospitals. 😂 😂 😂

Nani alikudamganya KCMC ni private hebu mnuseni huyu kalewa au??🤣🤣🤣🤣🤣
 
Toa ujinga wako hapa KCMC iko chini ya serekali ya Tanzania

Akili zako ziko kwenye makalio 😂😂😂😂
View attachment 2936511
That's just partnership, your government does not own the hospital. Show me anywhere imeandikwa it's a public hospital nifunge hii account sahii. Yani bongoslum has very few public hospitals hadi serikali inabidii ifanye partnership na private hospitals. 😂 😂 😂 Hospitali zenu zote amabazo zinamilikiwa na serikali zinajulikana, I still insist, mutuonyeshe ni gani zinafanya brain or spinal surgery apart from Muhimbili na Benjamin Mkapa. 😂😂😂
 
Hospitali ya kanisa is not a public hospital. Ministry of Health yenu imeandika vizuri it's a private hospital. Wewe unapinga kama nani? 😂 😂 😂 👇 👇 Serikali yenu haikujenga hio hospitali kwa hivyo hawaimiliki. Show me public hospitals.View attachment 2936489
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nenda kule katizame ownership usipoona good samaritan foundation ambayo Nyerere alihusika kuilea njoo unipige kofi.
KCMC sawa imesajili kama private ila ina three to four ownership.
Huwezi fananisha KCMC na Aga Khan au Hindumandar hospital.
Hiyo hospitali ina ushirika na serikali na sawa useme 50 private and 50 government.
Kafuatilie historia ya KCMC ndio uje hapa.
Hiyo hospitali kiwanja katoa baba wa taifa na mpaka sasa inapokea kila mwisho wa mwezi bilion 1 kama ruzuku toka serikalini na mishahara inalipwa na wizara ya afya.
Ni hospitali ya ushirika we jamaa acha kukaza fuvu.
Ndio maana nikakuuliza Moshi hakuna private hospital zingine??
Mbona hawakuenda zingine wakaenda KCMC??
Kama hujui ukiona chombo chochote Tz ni cha catholic jua ni sawa na cha serikali tu maana 80% huwa zinakuzwa na serikali.
 
Back
Top Bottom