Huyo dogo aka chawa ana mtindio wa ubongo wala huhitaji elimu ya mlimani rais yupi kafanya kitu flani kwanza ujue bila JPM kuwa rais na maushungi kuwa makamo wake na JPM akafariki maushungi akawa rais kikatiba bila hivo huyo mam ake angekuwa rais wa wapi au TFF
Bila JPM serikali isingahamia Dom
Bila JPM bwawa la Nyerere lisingekuwepo
Bila JPM Atcl haingekuwepo
Bila JPM SGR haingekuwepo
Bila JPM daraja show off lingekuwepo
Bila JPM magufuli bus terminal hakuna
Bila JPM upanuzi wa bandari tungeyskia
Bila JPM Ecop tungeiskia tu
Bila JPM kibaha high way ni kenye makaratasi
Wala huhitaji nguvu kubwa sana kusema ssh kafanya nn tunafaham anachokifanya kizuri kwangu mm ni
Bbt aslimia kubwa ni mwendelezo wa misingi ya mtangulizi wake hayati JPM
Hayo ni baadhi ila ni mengi sana
Hilo bwawa lilikua lijengwe toka kipindi cha mwinyi 😅😅😅 issue ni uthubutu hata serekali kuhamia dodoma ilitakiwa ianze kipindi cha mwinyi au umesahau bwana ndogo😅😅😅😅
Ndio maana hujawai Rais kwasababu ww ni kichaa 😅😅😅 kuendeleza mradi ni lazma sio ombi
Nyerere alikua na idea hio na alitamani lakini waliofata wote walishindwa akaweza mwamba so kwa SASA hakuna mtanzania mjinga, nimemaliza