Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Serikali yenu ingekua na uwezo ingewalisha wenyewe na wakatae msaada wa USA. Lakini ju walikubali inamaanisha wanafunzi wamekua wakilemewa na njaa huko kwa your capital city. 😂😂😂
Acha taarabu jibu swali,Kuna ripoti imetoka ikisema Dodoma kuna balaa njaa??
 
Nimemuuliza swali kuna ripoti ilitoka ikionesha DODOMA MASHULENI KUNA BALAA NJAA KUNAHITAJIKA MSAADA WA VYAKULA??
AKINIJIBU HILI SWALI NAACHA KUINGIA JAMII FORUM.
Serikali yenu imekubali msaada wa vyakula kwaniini kama hamna njaa?
 
08-03-2021.

8.14PM
Magufuli aje tibiwa Kenya ilhali ninyo raia wenu huja tibiwa Tanzania!?
Screenshot_2024-03-15-15-18-00-21_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-03-15-15-18-10-75_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-03-15-15-17-48-55_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Serikali yenu imekubali msaada wa vyakula kwaniini kama hamna njaa?
Acha kukaza kichwa unaanza kunipa wasiwasi na akili yako sasa.
Nilikuzungushia duara jekundu usome sababu ya huo msaada na wapi umeenda.
Nakuuliza je KUNA RIPOTI ILITOKA KUWA DODOMA KUNA BALAA NJAA??
Jibu ndio au hapana.
Screenshot_2024-03-15-14-50-50-32_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Ushaishiwa wewe huna hoja.
Unafosi Tz ionekane na njaa kama Kenya ila ushafeli kajipange upya.
Unanikasirikia nikama mimi ndio niliambia serikali yenu ikubali chakula cha msaada kutoka USA. 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom