Umeshindwa kujibu swali langu pole sana.Alipata ajali bongoslum lakini akasafirishwa Kenya kupata matibabu. Mbona hakutibiwa bongoslum? Yani heri wapoteze mda kwa immigration than kuwacha atibiwe bongoslum. 😂😂😂😂
Endelea na kelele zisizo na msingi.
Yeye kuenda tibiwa Aga khan iliopo Kenya ni maamuzi yake huwezi mpangia ila haiondoi kuwa Tanzania tuna sekta nzuri ya afya ambayo hadi raia wenu huja kutibiwa hususan maradhi ya moyo.