mwaiofhawaii
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 4,812
- 5,263
Your response has no relation to the main topic… try again….😄😄😄Yaani hata kujitambua ni issue, Rais ni wa kukimbizwa hospital? Hivi ninyi mnamchukulia Rais kama nani? Rais ni mtu ambae ana team ya specialist physicians wanaofatilia afya yake in heart beats hawezi kukimbizwa kama wewe mlalahoi na Nairobi aje kufata nini kama ni covid au hata kama sio covid?
Afya ya magufuli ilianza kupata public concern toka alivyoanza kutumia hizi fans na tatizo lake lilijulikana ni Atrial fibrillation
View attachment 2933841View attachment 2933842