ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kwasababu ujenzi unaendelea na hzo wanaweka temporary kwa ajili ya mayb sehemu za shule au sokoUjenzi wa bumps za mchanga kwa barabara ya lami. 😂 😂 😂 Wabongolala hamna akili.
Kwasababu ujenzi unaendelea na hzo wanaweka temporary kwa ajili ya mayb sehemu za shule au sokoUjenzi wa bumps za mchanga kwa barabara ya lami. 😂 😂 😂 Wabongolala hamna akili.
Wewe endelea kupiga domo tu. Unaambiwa ujenzi na wewe unakataa sasa tukusaidieje 🤣 🤣 🤣 🤣Ujenzi wa bumps za mchanga kwa barabara ya lami. 😂 😂 😂 Wabongolala hamna akili.
Kama ujenzi unaendelea mbona wasitumie hio lami wanajenga nayo kuweka bumps za lami. Hamna akili ndio maana munawekewa bumps za mchanga kwa barabara ya lami.Kwasababu ujenzi unaendelea na hzo wanaweka temporary kwa ajili ya mayb sehemu za shule au soko
ujenzi wa bumps za mchanga kwa barabara ya lami. 😂 😂 😂Wewe endelea kupiga domo tu. Unaambiwa ujenzi na wewe unakataa sasa tukusaidieje 🤣 🤣 🤣 🤣
hizo taka hutolewa hapo kwaajili ya gari kupita kuchukua na hapo tangazo limetoka asubuh.Enzi za Mwinyi kulikua na mark x na number plates za TD 👇 👇 😂 😂
![]()
Wewe ni engineer?ujenzi wa bumps za mchanga kwa barabara ya lami. 😂 😂 😂
Mumewai shinda game gani AFCON?Wewe ni engineer?
Halafu mnatufokea AFCON ni 2027 🤣 🤣 🤣 🤣 Unalijua hilo?
mumewahi kwenda AFCON? tuanzie hapo hatushindani na viande sisi.Mumewai shinda game gani AFCON?
Mumewai shinda game gani AFCON? Ukipata nakulipa. 😂 😂 😂 😂mumewahi kwenda AFCON? tuanzie hapo hatushindani na viande sisi.
Our beloved soldiers in DRC😍 wakiwa wanawafundisha wanajeshi wa DRC. wanaonekana wako very friendly to each otherView attachment 2933596View attachment 2933592View attachment 2933594View attachment 2933595
Kiherehere cha kuanza kutuonehsa render ya kiwanja mnaitoa wapi? Au ndio ushamba wa wakenya. Mashindano ni mwaka 2027. Ruto anataka kuwachota akili 🤣 🤣 🤣Mumewai shinda game gani AFCON?
Mumewai shinda game gani AFCON?Kiherehere cha kuanza kutuonehsa render ya kiwanja mnaitoa wapi? Au ndio ushamba wa wakenya. Mashindano ni mwaka 2027. Ruto anataka kuwachota akili 🤣 🤣 🤣
Umeshindwa kujibu swali simple tu nikikuuliza magumu utaweza? Unajua kuwa AFCON ni 2027Mumewai shinda game gani AFCON?