mwaiofhawaii
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 4,812
- 5,263
The day you see me posting.. All hail the great United Republic of Tanzania and Long Live Mama Samia … just know I will be posting from Kilimani …🤣🤣🤣🤣
Acha akili za mbayuwayu wewe hakuna chochote wagonjwa wa covid walikua wanasaidiwa hospitals duniani kote zaidi ya kuwekwa kwenye ventilators kwa akili yako finyu unafikiri mzena zilikua hazipo? Hospital ya Mzena hata hiyo zahanati yenu ya Nairobi haioni ndani, mkapa katibiwa hapo, mwinyi, magufuli na viongozi wengi wakubwa hakuna chochote kipo Kunyaland hakipo Tanzania, najua hata huu uvumi ulikua orchestrated na TISS ili kudilute shock ila nikuambie tu hamna ukubwa huo mnaowaza, Rais ni kiongozi mkubwa sana kuja NairobiNow you are arguing like a primary school drop out… Corona had no cure then just like cancer. It’s about symptoms management… same way people travel abroad for cancer treatment… not to cure it but manage it in away of hoping it never comes back… but sometimes it does come back even with Indian treatments, but that does not make India not a good destination for cancer patients…. Nairobi Hospital remains the cream of the crop of all regional hospitals ( East and Central Africa)…. You can deny all you want.. as they say, you are entitled to your own opinion…
Tatizo ni soko ndio linapanga bei sio Serikalihuu ni bonge la mji, serikali ipunguze gharama za ardhi tupajenge
Harafu wakasema gharama za matibabu ni million 400tshIkiwa tundu lisu tu aliletwa kenya kwa sababu za kiusalama na wala sio matibabu na mkaishia kumpa panadol mpaka pale walipoona atakufa huyu ndiyo wakampeleka ulaya.
Jicho la MamaWalau kwa miaka mingi serikali Sasa ndo ipo serious na bandari na uongozi wa TPA wa Sasa upo serious
Ashukuliwe JPM kwani yeye ndo aliyeanzisha hizi harakati za kuboresha bandari zote.Jicho la Mama
Your stupidity can't allow you to think. He was being treated on complications that comes as a result of the coronavirus. Coronavirus is just like HIV, it doesn't kill but instead just weakens your immune system to allow other diseases to take over your body, what kills is the accompanied infestation and infection as a result of the Virus. But since you are a primary school dropout, I don't expect you to know such.We jamaa ni zuzu au vipi.? Mnatuambia kuwa JPM alikufa kwa korona na kwamba kabla hajafa aliletwa huko umavi mavini ili apate matibabu, swali ni je hapo ukunyani kulikua na tiba ya korona.? 😂😂😂
Jicho la Mama la kuleta watu sahihi.Ashukuliwe JPM kwani yeye ndo aliyeanzisha hizi harakati za kuboresha bandari zote.
Bandari ya bagamoyo waliyoitegea badget mwaka 23/24 nao Bado ipo kwenye makaratasi
Yaani hata kujitambua ni issue, Rais ni wa kukimbizwa hospital? Hivi ninyi mnamchukulia Rais kama nani? Rais ni mtu ambae ana team ya specialist physicians wanaofatilia afya yake in heart beats hawezi kukimbizwa kama wewe mlalahoi na Nairobi aje kufata nini kama ni covid au hata kama sio covid?
Afya ya magufuli ilianza kupata public concern toka alivyoanza kutumia hizi fans na tatizo lake lilijulikana ni Atrial fibrillation
View attachment 2933841View attachment 2933842
I won't be surprised to find out that hiyo gari is make 1991View attachment 2933853
Dual carriageway in Dar...soon will be replaced with 4+2brt lanes...
Mwambie Nairobi Hospital and Nairobi West Hospital has equipment that Tanzania will never have in this decade.Now you are arguing like a primary school drop out… Corona had no cure then just like cancer. It’s about symptoms management… same way people travel abroad for cancer treatment… not to cure it but manage it in away of hoping it never comes back… but sometimes it does come back even with Indian treatments, but that does not make India not a good destination for cancer patients…. Nairobi Hospital remains the cream of the crop of all regional hospitals ( East and Central Africa)…. You can deny all you want.. as they say, you are entitled to your own opinion…
Ha ha ha magari yetu mengi ni 2005-13I won't be surprised to find out that hiyo gari is make 1991
But Kuna za 1990's pia.Ha ha ha magari yetu mengi ni 2005-13
I didn't know Tanzania imports even vehicles of 30 yrs oldHa ha ha magari yetu mengi ni 2005-13
Hii statement ya Nyerere kuhusu one-party state, niliisika miaka mingi ila sikuielewa sana, mpaka majuzi hapa alipokuja Trump. Sasa hivi hili neno "uniparty" linaongelewa wazi wazi kwenye social media.