Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2023 Hunger index is out and guess what? Watanzania wako na njaa kuliko wakenya😂😂😂.

Kenya ranked at 90 while Tanzania is at a distance position 94.

20240313_194812.jpg
 
Kwanza corona yenyewe haikuua kivile, walikuwa wana label mtu yeyote akifa (hata kama aligongwa na gari), wanasema ni corona ili kutengeneza hofu... baadae walete chanjo. Corona ilitengenezwa kwaajili ya chanjo, Magu alishtukia mchezo, toka kwenye vipimo, idadi ya maambukizi, mpaka kwenye lock downs. Unakumbuka aliporuhusu ligi kuanza, watu wakajaa uwanjani na hawakufa. Aliwaumbua sana, the globalists, hawakupenda.
Hizi propaganda zilifanikiwa kuenea kwakua kikundi cha waathirika ndani CCM kiliidhinisha usambazaji wa mambo haya na kinaendelea kufanya hivyo mpaka leo.
 
Enzi za Mwinyi kulikua na mark x na number plates za TD 👇 👇 😂 😂

Image
Hii ni Temeke mwisho.
Temeke masuala ya dampo bado hawajaweka sawa leo nimepita nimeona hizo takataka hapo mpaka ijumaa ndio zitatolewa.
 
Back
Top Bottom