Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good Morning Bongostan … Since Nairobiwalker posted the 5 stages of grief… I will help you evolve to the second stage… 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2924835
Huu uwanja na wasi wasi unaweza kuwa mali ya mchina. Maana hatujaona sehemu wamekopa. Na unajengwa kwa kasi sana. Nasmini sio mali yao hii 🤣🤣
 
1709641270616.png
 
Sio jambo la kawaida maji kukatika Dar... Ndio maana wameweka tangazo kabisa.

Wanarekebisha mabomba ya maji kutoka catchment area Ruvu huko.

Ila kwenu huko kukosa maji ni kawaida ndio maana huko nganya za ku supply maji ni ajira rasmi huko pipelines and slums area

View attachment 2925196
Maza amebeba maziwa makuu lakin bado anaskuma maji kwa mkokoteni.
 
Back
Top Bottom