ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Team moja ikienda nusu fainali uhakika asilimia zote South Africa tunamshiusha 😅😅2024 tutakuwa 4
Team moja ikienda nusu fainali uhakika asilimia zote South Africa tunamshiusha 😅😅2024 tutakuwa 4
Vijana wawili Tu wametikisa dunia Huko wameingiza pesa ya mana 250,000Kwani michezo ni soka pekee
Leo tumeleta medali 4 Kenya
Next weekend tunaleta kikombe ya dunia from Uruguay!!!
Nyinyi endeleeni kuzubaa kikiafrika tu?!!
Mtawezana na Port ya Mombasa?...warabu washanyakua port hapa..hakuna kusema lolote..
View: https://twitter.com/IAMartin_/status/1764362500772962425
wamba moja ni World stage na nyingine Africa🤣 🤣 🤣 rugby na soccer wapi na wapi? 🤣🤣🤣🤣
We hope hata ya kucheza AFCON huna.Watu wanakazana kwenda kucheza top teams za Europe wewe. Uko hapa ukiongelea takataka ya kiafrika inaitwa sijui Caf!!!
Vitu za amateur players,!
Enyewe hope ya kufika world cup labda 2200.
Mchezo wenye kulipa na kuleta ajira kwa wingi ni mpira.Kwani michezo ni soka pekee
Leo tumeleta medali 4 Kenya
Next weekend tunaleta kikombe ya dunia from Uruguay!!!
Nyinyi endeleeni kuzubaa kikiafrika tu?!!
Unaweza nitajia mcheza rugby gani ulimwenguni ambae kaingia katika orodha ya wanamichezo matajiri top ten??wamba moja ni World stage na nyingine Africa
Hahahahaaaaa kupikwa data source ni kibera 🤣 🤣 🤣 🤣View attachment 2923092
![]()
List of busiest airports in Africa handling cargo
The Airports Council International (ACI) Africa has listed the busiest airports in Africa in handling cargo trafficfurtherafrica.com
Unapost kama alijenga baba yako 🤣 😁
Mtawezana na Port ya Mombasa?...warabu washanyakua port hapa..hakuna kusema lolote..
View: https://twitter.com/IAMartin_/status/1764362500772962425
Wao utawakuta kwenye ukabila na umaskini bila kusahau slums😀😀😀😀😀😀Mbona nyang'au hawapo?😁
Messi pekee anapokea 53.7m USD per year inter Miami America 😃😃😃Ati American football is bigger than Rugby....hehehe. Nevertheless, what sport is tanganyika good at so we ask....please don't give us this yanga simba yada yada nonsense
Hiyo Kariobangi na Mathare unayotaja have better houses, roads (paved) and organisation than your sprawling uswazi hovels that stink to the coreSamahani saizi tutakuwa tumamention kariobang na mathare maana kibera itanakuuma sana
Dunia ipi mzee.? 😂😂wamba moja ni World stage na nyingine Africa
Ubaya ni kwamba mnaongea pasi na uelewa. Nyinyi mnaongea tu msifiwe na vilaza wenzenu mitanzania ndio muonekane mabingwa. Hata hapa Africa, Nigeria is a footballing powerhouse lakini ilishawhi pigwa ban na FIFA hadi ikakosa kushiriki mashindano ya AFCON. Swali ni, is Tanzania better than Nigeria in matters football?FIFA Ban ilikujaje? Nchi serious ya kisoka bila shaka inakua inajua FIFA principles.