Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

St. Joseph Ilocha Seminary, Njombe, Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

20240305_175619.jpg
20240305_175654.jpg
20240305_175650.jpg
20240305_175657.jpg
 
Huyo anakuambia kenya ina mabasi na stand nzuri kuliko Tanzania unashangaa stadiums? Sasa muambie akupostie ndo utakapojua wakenya hawana akili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
stendi ya basi ukitoka tu ni vituko barabarani....hamna enough buses mnasimama safari ya 800kms
 
KENYA MAISHA MAGUMU NA UKAME NA NCHI NI JANGWA....MBUGA ZA WANYAMA NI CHACHE NA NYUMBA ZENU HAMPAKI RANGI NJE......KILA MJI UMEJAA NYUMBA ZA MABATI.... ..KINGEREZA KINGI....LAKINI HAMNA HELA NA MNAKAA KWENYE APARTMENT ZA WADOSI NAIROBI NZIMA...!!!
TANZANIA HATA MASKINI WANAMILIKI VIJUMBA ILA SIO VYA MABATI...!!
 
Only 11 hospitals with dialysis machines. 😂 😂 😂 CT Scan mumepata juzi, kumbe hata dialysis machines hamkua nazo in referral hospitals. 😂 😂 😂
Kingereza kingi afu mfukoni hamna hela............na Nairobi mejazana tu kwenye maghorofa ya akina odinga,ruto,mudavadi,kenyata, saitoti,.......
na wadosi wengine wa KANU mnawalipa kodi
 
75% of your workforce are primary school dropouts. 😂 😂 😂 Watu wa informal economy ndio wamejaza labor force ya bongoslum.


Image
We kweli fala aisee.
Yani kwa akili zako Tanzania elimu chekechea mpaka shule ya upili ni bure ni advance tu ndio unalipa ada.
Chuo kikuu kuna mikopo na vyuo vya kati vina mikopo halafu useme kuwa 65% ya work force yetu ni wale wenye primary level???!!!!
Utakua fala wa kiwango cha SGR.
Kwasasa Tz katika watoto kumi saba nzima wamefika elimu ya chuo cha kati na chuo cha juu.
Watatu ndio utakuta wameishia ufundi ama kidato cha nne.
 
We kweli fala aisee.
Yani kwa akili zako Tanzania elimu chekechea mpaka shule ya upili ni bure ni advance tu ndio unalipa ada.
Chuo kikuu kuna mikopo na vyuo vya kati vina mikopo halafu useme kuwa 65% ya work force yetu ni wale wenye primary level???!!!!
Utakua fala wa kiwango cha SGR.
Kwasasa Tz katika watoto kumi saba nzima wamefika elimu ya chuo cha kati na chuo cha juu.
Watatu ndio utakuta wameishia ufundi ama kidato cha nne.
That's data from NBS, wataalamu wa statistics huko bongoslum. Wewe huna data, your opinions are based on emotions.
 
Back
Top Bottom