Congrats Somalia.Welcome Ethiopia & Djibouti
View: https://www.instagram.com/p/C4GK6Ehoq1a/?igsh=MWJ4cHBmamN0M3piaQ==
Tunajaza nchi zilizooza kwa matatizo ya kiuchumi na anguko la kisiasa,je tutaweza kabiliana na hili??
Maana katika hii jumuiya ni Tanzania pekee yuko imara kwenye kukabiliana na changamoto.
Maana hata rais wa Somalia mwaka jana alimlilia mama Samia kwenye ufunguzi wa barabara mpya ya kikanda Arusha.
Mie sijafurahia sana maana kiuhalisia Tanzania imejiongezea mzigo begani.
Na hao kina Abiy Ahmed watizameni msije anza sikia nao wataka jiunga.