Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
Humo kichwani uko sawa sawa kweli!?Kenya wametuacha sana tuache ushabiki…Hiyo expressway ni balaa….mmetisha majirani…kongole kwenu….Sisi huku nilisikia wanataka kujenga ya kulipia kibaha chalinze watu wakalamika humu jamii forums.
Wakati wenzetu wamejenga tena kwa muda mfupi sana na ina option ukitaka kupitia hiyo ya kulipia au upite yenye jamu kazi kwako…ukishika waiyaki road mpaka mombasa road ukiwa unaenda airport dakika sifuri…Hongereni sana.
Tatizo kubwa Nairobi ni ukora wa dereva wa uber hasa kwa wageni yaani wana ukora wa kipuuzi mnooo.