NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,977
Kipchoge Keino Stadium Progress
Sanctions na sio sunctions!Mpumbavu ni wewe zee jinga.Hoja ya uwekezaji inahusikaje na sunctions? Nimetolea mfano wa Nchi ngapi hapo? Hata Zambia na DRC hawana masharti ya kisengerema.
Unaleta masharti wakati huna chochote Cha maana Cha ku command unachotaka? Tanzania ipo hata top 20 ya Nchi Zenye gas Nyingi hapa Afrika?
Wakenya mnashida ya umaskini, who on Earth anasema mjazanze kwenye nyumba za flat...
Uwanja wa AFCON...Kipchoge Keino Stadium Progress
![]()
Yani hawa hua ni vichekesho Sana 😂😂😂Uwanja wa AFCON...
Karatina areaHapa ni wapi?
Huu hapa ni mwendelezo wa kingereza cha watanzania
View: https://x.com/k3nzoE/status/1763222177619284042?s=20
there's nothing financial about this village upgradeDodoma new financial center under way 👇View attachment 2922592View attachment 2922591View attachment 2922593. Nyie wanuka mavi KANAIRO. Mashashola. mwaiofhawaii. nairobae. NairobiWalker. Nicxie. Teargas. Njooni huku msijifanye hamuoni 😂😂😂 Halaf ona vile government city ilivyo huge 👇View attachment 2922595View attachment 2922597View attachment 2922598
Government offices mtu anaita financial center.🤣🤣there's nothing financial about this village upgrade
Cry harder 🤣🤣🤣there's nothing financial about this village upgrade
Unaumia ukiwa wapi? 😂😂 Mwenzako jana alisema hapo hakuna bank hata moja 🤣🤣🤣 sahii na wewe unasema ni government offices 🤣🤣🤣Government offices mtu anaita financial center.🤣🤣
Wanachoambulia Nigeria nikiduchu ukilinganisha na nchi za kiarabu , Nigeria is a failed state hatuwezi kuwatazamia waoKufeni eeh kwani mnamkomoa nani? Tanzania ipo hata top 20 ya Gas hapa Afrika?
60% ya Mapato ya Nigeria yanatokana na Mafuta harafu wewe inasubiria mzungu atoe pesa yake Ili akupe wewe Kwa bei chee,hana upumbavu huo.
Dodoma is under constructionUsidhani kila mtu mjinga.
Talanta - Ground broken
Arusha - Launched, ground yet to be broken
Dodoma - yet to be launched.
Hizo zenu ndio renders, Talanta iko initial stages za ujenzi.
Photos?Dodoma is under construction
Unataka photos wewe ni nani? Andika "Tafadhali ninaomba mniwekee photos za maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa Dodoma" Hapa siyo kenya kutumia lugha chafu. Ebo!!Photos?
Kawaida ya mibongolalala kutafuta relevance by mentioning Kibera everytime wameshindwa kwenye hojaKweli dharau hizo maana zile self contained apartment za pale kibera ni balaaa.
Uombwe kwani we nani? Mungu?Unataka photos wewe ni nani? Andika "Tafadhali ninaomba mniwekee photos za maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa Dodoma" Hapa siyo kenya kutumia lugha chafu. Ebo!!