Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatoka kutizama mpira usiku saa saba halafu unaenda kupanda matatu. 😂😂😂
Tunawaambia hawaelewi, kuna more than stadium kwenye kuhost tournament. Population nzima inaboost riadha, na rugby. Na hawajawahi experience mashindano ya kimataifa ya football, even kalenda ya FIFA wanaenda nchi nyingine kuomba uwanja.
 
Ila ligi ya NBC sina timu asee, ila kimataifa, nadhani ni aina ya shabiki lia lia wa hizo timu mbili damn,

Sababu ni moja wakishinda Tanzania imeshinda.
Bro mm ni Manchester United hata wakenya humu wanajua, ila kwa sasa siangalii mpira wa ulaya na sijui chochote kuhusu mpira wa ulaya hata uefa sina ninachojua, hapo zamani nilikuwa sipendi mpira wa bongo mana kulikuwa na ubabaishaji mwingi ila kwa sasa naona mpira wa ulaya ndiyo una ubabaishaji hususan pale man u na ndiyo maana nkageukia mpira wa bongo, yn nowadays naifatilia Dar es salaam Young Africans kuliko timu yoyote duniani na nafurahishwa na NBC kuliko EPL.
 
Angalia mandhari utapojengwa Uwanja wa Talanta Kenya. Kisha angalia Benjamin Mkapa na Dar es Salaam nzima. Akili tu ya kuzaliwa itakuonyesha Ufunguzi na Finali za AFCON zitaandiliwa Kenya. Ama nyinyi hamlioni hili!?
View attachment 2922540
View attachment 2922549View attachment 2922550
Benjamin Mkapa stadium nayo
View attachment 2922547
Hata Nyayo imejengwa pazuri
View attachment 2922548
Kwani hivi Dar es Salaam yote Slum ama vipi!?
Nyie wakenya mlilogwa na nani? Tanzania imeandaa mechi ya kwanza ya super league, Tanzania ndiyo nchi pekee Africa mwaka huu kuingiza timu mbili robo fainali cafcl, Tanzania ina mashabiki wengi wa soka Africa ukitoa nchi za kiarabu Africa kaskazini, hiyo caf ina uchizi kiasi kupeleka ufunguzi na fainali Kenya, hivi nyie mnaakili kweli? Au mnaleta uchale kwenye mambo serious.

Lastly, ni kwamba Kenya haitoandaa afcon take it to the bank.
 
Angalia mandhari utapojengwa Uwanja wa Talanta Kenya. Kisha angalia Benjamin Mkapa na Dar es Salaam nzima. Akili tu ya kuzaliwa itakuonyesha Ufunguzi na Finali za AFCON zitaandiliwa Kenya. Ama nyinyi hamlioni hili!?
View attachment 2922540
View attachment 2922549View attachment 2922550
Benjamin Mkapa stadium nayo
View attachment 2922547
Hata Nyayo imejengwa pazuri
View attachment 2922548
Kwani hivi Dar es Salaam yote Slum ama vipi!?
Hio kinywaji unatumia sasa jitahidi uache 😂😂
Huu uwanja umeanza kutumika 2007
images - 2024-03-02T232331.168.jpeg
 
Kama mm mwamba nilihama kabisa mawazo kwanini niumie na waingereza kwani wanashabikia timu zetu mm na Ligi Kuu
Bro mm ni Manchester United hata wakenya humu wanajua, ila kwa sasa siangalii mpira wa ulaya na sijui chochote kuhusu mpira wa ulaya hata uefa sina ninachojua, hapo zamani nilikuwa sipendi mpira wa bongo mana kulikuwa na ubabaishaji mwingi ila kwa sasa naona mpira wa ulaya ndiyo una ubabaishaji hususan pale man u na ndiyo maana nkageukia mpira wa bongo, yn nowadays naifatilia Dar es salaam Young Africans kuliko timu yoyote duniani na nafurahishwa na NBC kuliko EPL.
 
DODOMA 👇TRC hq
Screenshot_20240302-191313_1.jpg
Screenshot_20240302-191525_1.jpg
.. DODOMA outer ring road progress 👇
Screenshot_20240302-191617_1.jpg
.. DODOMA SGR station 👇
Screenshot_20240302-191300_1.jpg
Screenshot_20240229-004411_1.jpg
. Nyie wanuka mavi tegemeeni kuumia anytime soon kwasababu hii miradi iko mbioni kuzindiliwa "hatuongei ongei, tufanya, hatufanyi fanyi, tunafanya kazi" 😂😂😂 Don YF. Ulitubeza mbwa wew. Njoo leo hapa uumie, sisi ndio wakali wa hizi kàzi
 
Back
Top Bottom